INFOS SUR LE MINISTERE
Tangu mwaka 2018,
huduma ya umoja katika maombi, iliyokuwa ikiongozwa na
Bishop NDAVANA SYAIPUMA Sylvin, ilipatwa tena na tatizo kubwa ambalo lilisababishwa na
bishop yeye mwenyewe aliye muacha muke wake wa ndoa nakuonesha dalili zaku taka kuowa muke mwingine. Walipoona ile, mapastors wote walifanya mgomo, na hii ikasababisha vuta nikuvute katika kundi mpaka leo hakuya onekana kusikilizana kati ya huyu
bishop na wapastors wa
huduma nzima. (Mengi zaidi tuta yaeleza katika taarifa zetu za siku zijazo kwa anwani yetu hii)
Tangu mwaka 2018,
huduma ya umoja katika maombi, iliyokuwa ikiongozwa na
Bishop NDAVANA SYAIPUMA Sylvin, ilipatwa tena na tatizo kubwa ambalo lilisababishwa na
bishop yeye mwenyewe aliye muacha muke wake wa ndoa nakuonesha dalili zaku taka kuowa muke mwingine. Walipoona ile, mapastors wote walifanya mgomo, na hii ikasababisha vuta nikuvute katika kundi mpaka leo hakuya onekana kusikilizana kati ya huyu
bishop na wapastors wa
huduma nzima. (Mengi zaidi tuta yaeleza katika taarifa zetu za siku zijazo kwa anwani yetu hii)
Tangu mwaka 2018,
huduma ya umoja katika maombi, iliyokuwa ikiongozwa na
Bishop NDAVANA SYAIPUMA Sylvin, ilipatwa tena na tatizo kubwa ambalo lilisababishwa na
bishop yeye mwenyewe aliye muacha muke wake wa ndoa nakuonesha dalili zaku taka kuowa muke mwingine. Walipoona ile, mapastors wote walifanya mgomo, na hii ikasababisha vuta nikuvute katika kundi mpaka leo hakuya onekana kusikilizana kati ya huyu
bishop na wapastors wa
huduma nzima. (Mengi zaidi tuta yaeleza katika taarifa zetu za siku zijazo kwa anwani yetu hii)
Publié le 02/11/2018 à 14:23 par uniteevangile
(cad depuis 2000 jusqu’à début 2017) Tangu myaka 1998, inji ya Congo ilikuwa na matatizo mengi sana. Salama ya wakaaji haikuwa hata kidogo, watu waliishi katika hali yaku jiogopa, kuporwa mali zao, wamama kubakwa ovyo ovyo, wizi, unyanganyi huku na kule. Hii ni picha ya muji wa Butembo wakati wa mlio wa masasi Wakati ule kulikuwa mtumishi wa Mungu katika muji wa Butembo ambaye alipata kweki ufunuo wa enjili iliyo hai kutoka kwa Mungu, aliitwa mzee NDALIKO KALMELA. Mzee huyu alihubiri enjili kwa kweli, na alikusanya watu wengi walio okoka, kwenye makao yake pale iliyopatikana siku zile ku barabara kuu ya muji wa Butembo. Ilikuwa (opération sauvetage), ni pale njo watu waliokuwa wameonja utamu wa habari njema walikuwa nakutana kila mara kwaku jiimarisha, kwani hakukuwa enjili ya kweli kwenye madini siku zile.Sasa mtumishi yule alipo endelea sana katika mafundisho yenye kusema kwamba mutu akiokoka hawezi tena kutenda zambi, waamini wengi wakafurahia yale mafundisho kabisa. Mtumishi mmoja kwa jina la NDAVANA SYAIPUMA naye akaambatana na mafundisho yale maana alikuwa ameokoka siku zile, na pale watoto wa Mungu wengi waliimarishwa kupitia mafundisho ya mzee huyu NDALIKO. Lakini dini ya ki protestanti walipiganisha sana yale mafundisho, watu waka sambazwa, waka baki katika ukiwa kiroho. Kiisha mtumishi NDAVANA na wengine wamoja wa dini ile ya ki protestanti walio okoka, wakafanya vikao na maombi, kuona kama watu watahubiriwa tena namna gani, na kwa njia gani maana watu ya dini walikuwa wamepiga marufuko mtumishi NDALIKO aliyekuwa msahada siku ziule kwa watoto wa Mungu. Ni kwa njia ile vikao na maombi makubwa ya wale walio sambazwa wakiungana na mtumishi NDAVANA, vikazaa mawazo yaku nunua redio, ili watu wahubiriwe kwa njia ile. Redio ile ika nunuliwa, n ikatumika chini ya dini ya CBCA (redio ya enjili ya Butembo). Siku zile, mtumishi huyu NDAVANA akapewa pale kwa redio kipindi cha dakika tano tu « ombeni pasipo kuchoka » . Watu walifata naku furahia kipindi kile maana kilikuwa jibu na dawa kwa kui iliyo kuwa ime jiumba katika mioyo ya watu wa Mungu, waliosambazwa na kukosa enjili ya kweli. Watu walipo sikia enjili imehubiriwa tena kwa redio hii naye mtumishi NDAVANA, waka pumzika sana na kwa hiyo kukawa mikutano ya redio club, katika ma zehebu ya wa protestant (cbca Kimemi) na kwa njia ile walio amini katika mikutano hiyo, waka saidia pamoja na dini ya ki protestanti waka saidia kwa kulipa pesa zilizo nunua redio hii. Ni kwa ile kipindi njo kulipatikana mutu mmoja mwana siasa kwa jina PALUKU KAMAVU ERIC, huyu alisikia neno la Mungu. Baadaye kidogo viongozi wa dini ya kiprotestanti tu wakapigana na mafindisho yale ya mtumishi NDAVANA kunako redio, waka mfukuza kwa redio kwasababu alisema kwamba watu wa kemeye mapepo, ingawa katika dini yao wao walijua ma pepo hazikuwake. Kwa hiyo wakafanya hila kwamba wanamufanya kuwa Evangeliste wa poste, akumbe ilikuwa njiya yaku mukimbiza kwa redio. Alipokimbizwa tena watu wakabaki ndani ya ukiwa mkubwa sana ; mtumishi huyu naye akabaki nyumbani kwake, akiomba nakusoma biblia. Mwaka 2OOO, PALUKU KAMAVU Eric aka teuliwa kuwa meya wa muji wa Butembo . Alipoona ginsi muji hauna amani na hata inji yote, akaona ya muhimu atafute mutu wa Mungu, pale akakumbuka kutafuta mtumishi aliye musikia kwa redio, yaani NDAVANA, Wakaongeya juu ya hali ya ukosefu wa salama katika muji na inji, piya wakaongeya juu ya namna ya kuongoza muji wa Butembo. Ni pale njo kulitoka mpango kwamba meya wa muji aite watu kwa mkutano mkuu wa maombi, na mtumishi NDAVANA akafundisha (hii ilikuwa sasa munamo mwaka wa 2OO1) Ukosefu wa salama ulipozidi kabisa, masasi kila asubui, yenye kusababishwa na vikundi mbalimbali vya wa maimai walio tokea Vurondo, Kahamba, Kivira, Kitovo, Luotu, Lukanga, Muhola, kasitu… Kwa jumla, kosefu wa salama huu ulitokana na Wa maimai walio zunguka muji wa Butembo pande zote, na hata mahali kote katika territoire mzima ya Lubero na Beni Upande mwingine, wageni waliokimbilia katika inji yetu Kongo kutoka upande wa Rwanda wakati wa Génocide yaani mauwaji makubwa yaliyo fanyika huko kwao Rwanda munamo mwaka 1994, walio itwa wa FDLR. Wali kosesha salama katika materritoires za Rutchuru, Walikale, Masisi na zaidi sana, katika territoire ya Lubero wali sumbua sana katika maeneo ya Kasuo, Kagheri, Ndoluma, Alimbongo… Baada ya mazungumuzo yao wawili, wakapatana kusaidiana kutafuta salama ya muji na inji nzima, kwa njia yakukusanya wakaaji wote wa muji na kandokando ya muji, pamoja na kila mutu anayeona hatari ya muji wa Butembo na kandokando ili waombe Mungu kwa ajili ya muji wao. (ITimoteo 2 :1-5) Wakati uleule, mtumishi wa Mungu NDAVANA SYAIPUMA akaomba tena kipindi cha kuhubiri enjili na kuomba kwa redio moja ya muji iliyojulikana kwa jina la « RADIO GRABEN ». Redio hii ilipeperusha vipindi vyake kutoka kwa mlima wa NGESE. Kipindi hiki cha mtumishi wa Mungu kiliitwa tena: « OMBENI PASIPO KUCHOKA », na kilikuwa na peperushwa kila siku asubui mapema (5h00 za asubui) na kili saidia nakufariji watu wengi sana katika muji na kandokando kote ambako redio hii ilisikika. Kila siku asubui mapema alilamukia kwa kipindi hiki kutoka nyumbani kwake Masuli pa Katwa, na kuna wakati mtumishi huyu alikuwa na amuka asubui hata wakati wa muripuko ya masasi, alienda na bidii, bila kuogopa, na hii ilikuwa faraja kwa wasikilizaji wote. Unite dans la priere ilianja munamo mwaka 2001 kama Association ao kikundi chaku kusanya watu kutoka zehebu mbalimbali ili waombeye inji na muji wao kwa Mungu kufuatana na hali waliyo ishi siku zile. Basi ilikuwa munamo tarehe …/…/2001, tangu saha ……… mpaka saha ………. Pale katika uwanja wa DENIS PALUKU, mkutano wa kwanza wa kuombea inji ulifanyika, na Mungu alijifunua kwamba yuko tayari kusamehe inji naku iponya ikiwa watu wata nyenyekea kuomba na kugeuka kwa njia zao mbaya (2mambo ya siku 7:14-15) Maombi haya yalizaa matunda mazuri sana tena mengi kabisa, na ni kwa ajili ya hiyo meya wa muji mzee PALUKU KAMAVU ERIC akatiya mtumishi wa Mungu nguvu na moyo, naku muomba aendeleye na mpango huo wa kuombea muji na inji nzima. Kwa hiyo mtumishi aka anja kupangilia mikutano yakukusanya waombaji kutoka vikundi mbalimbali na mazehebu mbalimbali, na watumishi wengine wakaungana wote nakuunga jambo hili mkono mpaka likaendelea. Basi, meya wa muji mzee ERIC KAMAVU alitangaza kwamba jambo hili litafanyika kila mara, na maombi yaendeleye bila kukoma, kusudi tupate amani katika muji wetu; na pale tena, meya wa muji akazidi kutiya mtumishi NDAVANA moyo; kwani sura hii ilikuwa mupya kabisa katika eneo nzima, watu wa dini zote kuombeya pamoja. Mikutano ikafanyika kwa umoja na ushirika mjini Butembo katika ma hekalu ya mazehebu fulanifulani sawa vile: - CBCA Kimemi - CBCE Vungi - ANGLICANE Kiltulu Wakati ule watu wengi walikuwa na tokeya miji ya kandokando kuja kushiriki kwa kazi hii; miongoni mwao tunaweza kutaja kijana mmoja kwa jina la KAMBALE SAMMY aliyekuwa mkaaji wa muji wa Kalunguta, kijana huyu alikuwa sujaa sana, nan i huyu aliyekuwa mmoja wa wa missionaires wa kwanza katika huduma hii. Ni huyu ndiye alianjisha kazi ya maombi pa Kalunguta, mpaka kanisa likazalika pale kiasi kwamba wengi wa watoto wa Mungu pale Kalunguta leo, ni watoto wake wa imani Mikutano iliendelea sana hazarani (yaani uwanjani mwa DENIS PALUKU) na matokeo ikaonekana wazi, Mfano : Munamo mwaka 2OO3, wahuni wa maimai walianja kutoka katika mapori nakuanja kurudi wengine kwenye ma jamaa zao na wengine kuingiya jeshini. Mmoja wa watu waliokuwa wakiombea salama ya inji na akaona matunda ni mtumishi wa Mungu papa TSONGO JULES aliyekuwa katika muji wa Muhangi ; mtoto wake kwa jina la ARKIPO alitoka porini nakurudi kwa jamaa yake. Walipoona matokeo haya mazuri, watumishi wakaanja kufikiria jambo hili; ndio maana vikao vya watumishi pamja na maombi mengine vikazidi na vilifanyika katika makao ya watu binafsi, sawa : Makao ya papa ILONGO pale mu avenue Beni Makao ya papa KASUNZURA mu Q. Vungi Zaidi maombi ya kila juma yalifanyika kila siku ya tano munamo hekalu la zehebu ya Anglican pale Kitulu, na wakati ule permanence na mipango ingine ya uongozi vikaendelea katika makao ya Kasunzura pa Vungi. Wakati ule watu wengi kutoka huku na kule wakajiunga, watumishi kutoka mahali kote kama vile mama FEZA SHAMAMBA pamoja na mume wake, wali kuja omba pamoja nasi kutokea Kinshasa ; mtumishi mwengine BRUTON BUBERWA naye alikuja kuomba nasi kutoka Tanzania na wageni wale wali endelea ku imarisha waamini kwa njia ya neno la Mungu. Permanence na kazi za uongozi vikahamia ku Cellule Fatuma n° 88, ambako ilikuwa ni nyumba ya papa MUHASA (ndugu yake na papa ALPHONCE, ambaye huyu naye alijiunga kwa kazi hii na alikuwa mmoja wa watumishi walio fanya kazi bega kwa bega na mtumishi NDAVANA). Kwa mwaka ule tu, kukafanyika kikao kikuu cha watumishi wote walio onekana kama wameelewa lengo ya kazi hii, chini ya uongozi wake mtumishi NDAVANA, kikao hiki kilijulikana kama Assemble général ya kwanza tangu kazi hii ilipoanja. Wakati ule mtumishi aliye saidia kwa mambo ya uandishi alikuwa ni KASEREKA MUHAYIRWA JOSEPH (aliye julikana kwa jina la DJEPH). Watumishi wengi waka tembea na mzee NDAVANA bega kwa bega miongoni mwao kuna: MUHINDO NGENDO PALUKU MWIRAWIVU KIKOMBI SYRILE KASEREKA MALEKANI…. Muda ule wakakubaliana kusimamisha kundi hii kama ASSOCIATION, (yaani ushirika wa watu wanao tafuta uponyaji wa muji na inji yao kwa njia ya maombi), na association hii ikaitwa ASSOCIATION CHRETIENNE DANS L’UNITE DE PRIERE (ACUP kwa kifupi). Statut ikaandikwa wakati ule mu tarehe 16/06/2003,baada yaku kusanya mawazo mbalimbali ndani ya ensemble generale iliyo fanyika siku ile kama vile ensemble ya kwanza kabisa ya kikundi hiki. Lengo ya kundi ikawekwa juu ya kartasi kusudi kila mutu anaweza kuisoma pale ao ku ipewa, (logo ya kikundi ikakubaliwa kuwa hivi): Walishiriki kwa kikao hiki watu wengi na waka wachagua watu wafuatao kuwa waongozi wa kikundi: 1. Président : NDAVANA SYAIPUMA 2. Vice - président : 3. secrétaire : KATEMBO - MUHAYIRWA 4.Conseiller : PALUKU KAMABU Eric 5. Conseiller : MUHINDO NGENDO 6. Conseiller : KASEREKA ALPHONSE 7. Conseiller : KASEREKA MALEKANI 8. Conseiller : CYRILE KIKOMBI 9. Conseiller : MALONGA EUGENE 10. Conseiller : MWIRAWIVU Kazi ikaanja sawasawa na watu kutoka pande zote wakajiunga kwa kazi na makundi mengi toka pande zote, zika jiunga kwa kazi kwakuungana na kikundi hiki. Siku zile wababa, wamama, vijana na wasicha wengi kabisa waliikaliya kazi ya Mungu na roho moja wakifanya kazi mbalimbali kama vile Kwa ngambo ya protocole : papa ALPHONSE, kijana JOACHIM, mama MUSAYI, mama FURAHA,papa VALERI, JEANINE na KAVE , BEJAMAIN,NAOMIE(aliyeitwa zamani CHANTALE)…. Intercession : MUDI HARNOLD, MALEKANI, ROGER, Com. SPIRITUELLE: NDAVANA yemwenye kama kiongozi wa kundi, MUHINDO NGENDO,KIKOMBI SIRILE, EZECHIAS, OLIVIER KAYANI,… na waengine watumishi wa makundi zingine za maombi; kwa sababu wengi walijiunga kwa kazi hii ingawa hata wakiwa na kazi zingine katika makundi na ma zehebu zao Com. Ya FINANCE: baba na mama MELTA, mama BAMBA, … Wazee walio jiunga kwaku sukuma kazi: mzee SUMBUSU MARC,mzeeTALULIVA,mzee DEO WIKONGO, mzee ILONGO, mzee MAKWATA, pamoja na wengine wengi Kazi ikaendeleya sana na kundi ika julikana sana katika muji na kandokando Muda ule mikutano ika fanyika kandokando ya muji wa Butembo kwa sura ya mikutano ya “radio club” kama vile Mambira, Mabambi, Lutambi…, na watu wengi waliokoka kule, kama vile THOMAS VIRUGHO, KAISAVIRA, DANIEL… Watumishi wale waliojulikana kama watumishi mashuhuri wenye bidii ya kazi walikuwa: NDAVANA SYAIPUMA: huyu ndiye aliyekuwa kiongozi mkuu na muanjilishi wa kikundi, alikuwa kwanza mtumishi (ao évangeliste) katika zehebu la CBCA , ni kule alitoka wakati Mungu ali mubebesha mzigo wa kuhubiri enjili ulimwenguni kote. KASEREKA ALPHONSE: huyu alijiunga kutoka zehebu ya ki protestanti ya CBCA Butembo cite (alikuwa mmoja wa viongozi ao comité katika zehebu lile). Ni huyu Alphonse njo alienda fanya biashara yake huku Byakato kwa mwaka………………., na ni kwa njia ile alitayarisha kule mkutano mkuu, watu wengi waka alikwa kwa huo mkutano, na watu wengi waka okoka pale, kikundi cha maombi (yaani cellule de priere) kika anja pale Byakato, kukaonekana watoto kama vile: Zakayo, Yosiya, Kasereka (leo anaitwa Kalebu), Kiware,… PALUKU MWIRAWIVU: huyu alijiunga kwa kazi kutoka katika zehebu ya ki protestante ya CBCA Kalimbute (alikuwa mmoja wa waalimu kule) KIKOMBI CYRILE: huyu alijiunga akiwa vilevile na maoni yake, akiwa pasta wa kanisa lake la MCFDiVi (yaani Mission du Christ Fils du Dieu Vivant) lililopatikana katika Q. Kitulu mjini Butembo. MALONGA EUGENE : huyu alikuwa pasta msaidizi katika kanisa la CYRILE KIKOMBI(yaani MCFDiVi) MUHINDO NGENDO : huyu alijiunga akiwa kiongozi wa kikundi chake cha maombi (JEUNESSE KITULI) akajiunga pamoja na kikundi chake kile (yaani kikundi kile kikakuwa kama tawi ao cellule ya Association ACUP) KASEREKA MALEKANI : huyu naye alijiunga akiwa na kikundi chake, (ECOLE DES DICSIPLES), naye aka jiunga pamoja na kikundi chake kile nayo ikakuwa cellule ya pili katika Association ACUP. Wakati ule permanence ikarudi tena pa Vungi kwake papa KASUNZURA, kule kukafanyika kazi za ofisi na maombi mengine kama ya makesha na mipango mingine mimi yakuendelesha kazi mbele. Kwa siku zile, mtumishi NDAVANA aka muachia mwenzake MUHINDO NGENDO kipindi chake cha kila asubui kunako redio graben, na wakati ule redio hii ilikuwa imehamia katika muji (centre ville) (mu Av. DU MARCHE). Na huyu Ngendo alijichagulia katikati ya watoto wake wa imani mmoja ambaye alikuwa na mu saidia kwa kipindi kile (na yule mtoto alikuwa msichana kwa jina la ELIZA) Tena kwa siku zile Association ilikuwa na kipindi kingine (YESU MSAHADA) kilikuwa na pita kunako RTNC kila siku ya pili tangu 8h00 mpaka 8h30) na wakati ule redio hii RTNC ilikuwa na peperusha vipindi vyake pale ku soko kuu ya Butembo ; na ni KIKOMBI CYRILE pamoja na kijana JOACHIM ndio walikuwa na pitisha kile kipindi. Baadaye munamo mwaka ule ule wa 2004, Yule MUHINDO NGENDO akaanguka katika zambi ya uasherati, alisharatika na motto wake wa imani Yule ELIZA, akachukua mimba, akazaa motto. Papo hapo habari hizi zilipo chunguzwa vizuri naku hakikishwa, akatengwa mu tarehe 11/04/2005 toka katika kikundi, yeye pamoja na msichana yule, kwa hiyo kikundi chake (yaani jeunesse Kitulu) kika yumba sana karibu naku zimika lakini wamoja wa watoto wake wa imani waliendelesha kikundi (miongoni mwao: MUSAFIRI, ANISETH…). Watu wale walipo fukuzwa kutoka katika kundi kwa ajili ya makosa yao, mtumishi NDAVANA akarudilia kipindi chake na aka ji tafutia mtoto JOACHIM ku mushindikiza kwa kipindi kile, kila siku asubui (5hoo -6hoo), na jina ya kipindi haikuwa tena OMBENI PASIPO KUCHOKA kikaitwa “ MAOMBI SILIHA” ; Kukawa na mkutano mkuu wa maombi mwaka ule, na ali alikwa dada ANGELA KIBALONJA kutoka Nairobi, aka burudisha mkutano huo kwa nyimbo za sifa, watu wakafurahi sana na ile ika vuta watu wengine wengi kujiunga kwa Kristo. Muimbaji huyu mashuhuri alipangia pale Malera kwa baba mmoja tajiri, aliyeitwa SIKULIHINGA, ambaye naye alijiunga kwa kazi hii kutoka katika zehebu yake ya CBCA . Huyu ali nunua vyombo vya sauti, akavitoa sadaka katika kundi kusudi vi saidiye wakati wa mikutano mbalimbali iliyofanyika katika kikundi. Yaku shangaza, alipoona kwamba NGENDO ametengwa katika kundi, papohapo akaomba arudishiwe sadaka zake zote alizo toa. Akarudishiwa vyombo vile vya sauti, na kwa mwisho akafukuza mtumishi NDAVANA katika nyumba alimokuwa akipangia pale Kalimbute (kwani ilikuwa ya SIKULIHINGA), ingawa hata mtumishi hakuwa na deni yoyote. Haijulikane wazi kama ilikuwa sababu ya nini njo maana aliomba arudishiwe sadaka zake zile, lakini ilionekana kama ilikuwa sababu yaku mtenga Ngendo aliyefanya zambi katika kikundi. Muda mchache tu baadaye, mtumishi KASEREKA MALEKANI naye akavumbuliwa kuwa mzinifu piya pamoja na mtoto wake wa imani aliyeitwa …………………… , mu tarehe 25/07/2005, Wakapewa baruha yao ya matengo, na wakatengwa kabisa, sawasawa na maandiko matakatifu. Piya MALONGA EUGENE naye aka naswa katika ileile zambi na mtoto wake wa imani aliyeitwa SOKI, naye akatengwa kutoka katika kikundi papo hapo. Kukaonekana kijana mwingine naye kwa jina la BEJAMIN, yeye hakuwa mtumishi, lakini alikuwa mwanamemba mwenye bidii ya maombi ndani yake; naye akaanguka naye katika ileile zambi… Wakati ule wababa, wamama, vijana wengi sana walipenda Mungu na wakaikalia kazi ya maombi, miongoni mwao tunaweza kutaja : Mama LAELE, Mama FURAHA, JOACHIM, MWISA KING., ROGER FIMBO, JOEL KAPAKASI, TAWITE, EVARISTE, JONATAN, Papa VALERI, THOMAS VIRUGHO, da KAVE , Mama KIPUTSU (aliye badilishwa kuwa Mama SALOME),… Wakati ule meya PALUKU KAMAVU ERIC alikuwa ame inuliwa kabisa katika kazi kwa ajili yaku mheshimu Mungu, yaani alikuwa hayuko tena katika muji wa Butembo ; aliyekuwa meya wakati ule alikuwa ni JULIEN PALUKU KAHONGYA. Semina na mikutano zilizidi sana ku permanence na hata katika ma salle polyvalente, kama vile mu tarehe 22/05/2004 kukafanyika seminaire ya ma couples iliyo simamiwa na kiongozi wa kundi yaani mtumishi NDAVANA, somo ilisema UNYUMBA PARADISO YA ULIMWENGU. Pamoja na ile kulikuwa tena semina ingine ambamo tulipokea ujumbe ulio tujia kutoka KOREA, ujumbe huu uliletwa na watumishi wa Mungu: Past. SENGA AIMER Ev. KAVIRA akishindikizwa na waSœurs JINA, JEUDI, FATU pamoja na ESTER wakitokea Goma, na somo ilisema NI WAKATI WA MUNGU. Hali ya wa tumishi ikaonekana kuwa mbaya kabisa, watu wakaanja kurudi nyuma polepole, yaani bidii ya watu wengi ika pola kwa ajili ya mchafuko ya watumishi; na hata watumishi wengine waka jiachisha kazi wao wenyewe. Ingawaje vile lakini mikutano iliendelea mara mbili kwa kila mwaka ginsi ilivyo kuwa kawaida, na kazi ikaendelea kwa nguvu za Mungu, ingawa watu walionekana wenye kuchoka na jina ya kikundi likachafuka, kwa ajili ya zambi za watumishi. Siku zile kukafanyika mkutano mkuu wa ufungulifu wa muji wa Butembo, kukawa kuzunguka katika muji yote ya Butembo, (kuanjia rond-point cathedrale kushuka mu barabara kuu ya muji yaani grand route-kupanda MGL- kutokea ITAV- mpaka kuishia kwa DENIS PALUKU mu uwanja ambako kulifanyika kazi kuu ya maombi ya ufungulifu wa muji) meya wa muji wa Butembo wakati ule alikuwa JULIEN PALUKU KAHONGYA, naye akashiriki kwa kazi hii kubwa ya ufungulifu wa muji wake. Hii ni picha ya watoto wa Mungu wakifanya maandamano ya ufungulifu Wageni wengi kutoka inji za kigeni na miji ya pembeni walikuwa waki alikwa kwa mikutano hiyo ; miongoni mwao kuna mfano : ANGEL KIBALONJA na mume wake ELISHA MULIRI…, Picha hizi ni za mikutano fulanifulani wakati ule Pamoja hiyo mikutano ilifanyika katika maeneo mingine vilevile kama HUTWE, KASEGHE, MUHANGI, VUYINGA, … Na kwa wakatakati ule kiongozi wa kundi aliendelea kuwa NDAVANA SYAIPUMA na katibu wake alikuwa ni KASEREKA MUHAYIRWA aliye julikana kwa jina la DJEPH. Tarehe 1/07/2OO4, mtumishi MUDI HARNOLD na MUHINDO pamoja na KAMBALE JOACHIM waka tumiwa kwa kazi ya Mungu pa KASUGHO, kule wakaonana na viongozi mbalimbali na wakaanda mkutano mkuu wa maombi katika maeneo ya kule Kasugho, ambako kulikuwa ukosefu wa salama ulio sababishwa na wakimbizi wa kinyarwanda wa FDLR waliokuwa wamekimbiliya katika inji ya Kongo kutoka kwao rwanda munamo myaka 1994. Nao walishiriki kwa mkutano huo, na wakashukuru sana kwa mafunuo hayo (cfr. Rapport du travail de Kasugho). Kutoka Kasugho kukafanyika tena mkutano ingine pa MUHANGI/MAMBIRA munamo mwaka 2004 ; Piya kulifanyika mikutano mbalimbali ya watu aina yote, sawa vile vijana (cfr doc. kikao cha matayarisho ya mkutano ya vijana) Tarehe 23 mpaka 30/05/2004 Kiongozi mtumishi NDAVANA pamoja na kundi kubwa la waombaji waka peleka habari njema upande wa KASEGHE, KIRUMBA, HUTWE, na kule watu wengi waliokoka naku muachiya Yesu maisha yao. Baada ya ile kukasikika tena habari zingine za uasherati wa aliyekuwa katibu siku zile (yaani DJEPH), jambo hili lilipo endelea kusikika aka jiachisha kazi yeye mwenyewe, na papo hapo tangu mwaka ule kijana JOACHIM akateuliwa na kiongozi wa kundi kuwa katibu, na jambo hili likakubaliwa na watu wote kwani kijana huyu alikuwa na bidii ya kazi ya Mungu, tena alikuwa ametayarishwa kwa kazi hii kupitiya comission ya protocole ya lile kundi. Mu tarehe 20/08/2005, DJEPH vilevile akapewa baruha yake ya matengo, akaenda katika mambo mengine yaku saidia maisha yake Munamo mwaka 2OO6, kukafanyika tena mkutano mkuu wa kualika watumishi wote waliokuwa wangali na shikamana na imani yao wakati wengine walikuwa wame jiachisha kazi na wengine kutengwa kwa ajili ya makosa yao. Mkutano huo ukatangazwa kuwa ni Assemblee Génerale na katika mkutano huu kukazungumziwa nukta mbalimbali zakuelekea kundi na kuka kubaliwa kufanyike ammendement ya statut ya Association Chetienne de l’Unite dans la Priere (ACUP) kwani ile jina ilikuwa imechafuliwa mu ma zambi za watumishi fulanifulani, na wengi kati ya wa signateurs walikuwa wamepoteza haki yao ya kuwa wanamemba wa kundi juu ya zambi zao na kujiachisha kazi wenyewe. Watu wote ndani ya mkutano huo waka kubaliana kwa nukta zote zaku badilisha ndani ya statut. Amandement ikafanyika na avenant ika andikwa ; jina la kikundi lika badilika kuwa « MINISTERE CHRETIEN INDEPENDANT UNITE DANS LA PRIERE » ( yaani huduma ya kikristo ya umoja katika maombi) ; na majina zingine kati ya wa signateurs zikatoshwa, kukaongezeka wengine. Ni kwa mwaka ule njo JOACHIM alijulikana rasmi kama katibu wa huduma (ingawa alianja kazi hii tangu 2OO4). Picha ya katibu mkuu JOACHIM Mikutano ikazidi sana huku na kule, zaidi sana mara mbili kwa kila mwaka (mwezi wa sita ao saba na mwisho wa mwaka). Kwa ajili ya kuombeya uchaguzi wa inji yetu. Kwa mwaka uleule, ali alikwa muimbaji mashuhuri PEACE MULU, na ujumbe katika wimbo wake « OMBEA ADUI YAKO » Mikutano ya aina yote ilifanyika wakati ule kwa ajili ya kuombea inji na province na muji wa Butembo, na watu walitoka huku na kule, yaani pande zote za muji wa Butembo, kwa ajili ya kuja kuombeya inji yao. Picha hizi ni za mikutano mikuu ya maombi pale katika uwanja wa Denis Paluku Muda ule tukapata habari kwamba viongozi wa zehebu la ki anglicane pale kitulu mahali kulikuwa na fanyika maombi ya kila siku ya tano, wame amua kwamba maombi isikuwe na fanyika tena katika zehebu yao. Kwa hiyo programme zote zikahamia pale mu Q.Fatuma n°88, tuka ishi pale kama wapangai, tukilipa pesa ya kupanga sawasawa na bei ya kila mwezi. Lakini baadaye kidogo, mu tarehe 16/09/2OO6, tuka nunua parcelle hiyo ikakuwa ya kikundi, na pakajulikana kama makao makubwa ya huduma ya umoja katika maombi. (Siège social). Na ni pale njo kulihamia kazi zote zinazo elekea kikundi, yaani maombi ya kila siku ya tano na ya yenga, maombi ya makesha kila siku ya tatu na ya posho usiku, maimarisho kila siku ya kwanza na ya tatu, na mikutano yote yakufikiria ao kupangia kazi ya Mungu Wakati ule Mungu akatufungulia milango ya kupata chombo yaani appareil émeteur ya radio. Kwa mwaka uleule 2006 mtumishi kiongazi alianja kutayarisha mahali pakutiya (yaani ku installer) chombo hiki sababu alikuwa hana tena makao kamili kwenye anaweza endelea kuweka chombo kyenyewe. Siku za kambeni za uchaguzi (yaani campagne éléctorales) wa inji yetu zilikaribia, basi mwana bunge mmoja kwa jina la mzee BAYOLI ali alika mtumishi NDAVANA kuja kufundisha kwa kikao kikuu alicho tayarisha juu ya kambeni pale Vutalurya mu chumba kikuu cha mikutano chake ayati KOWA ; kiisha mkutano ule, mtumishi akaomba huyu mwanabunge amuuzishe pilone moja kati ya pilone nyingi alizokuwa nazo mjini, alizo tumiya kwa mtantao wake wa simu wakati wa Congo geat. Huyu akachagua ile ya pale Base. Ni kwa njia ile watoto wa Mungu wakakusanya michango mbalimbali, na mtumishi baba yetu akaongeza pesa, pilone ile ika nunuliwa, na ujenzi wa studio ukaanja mahali pale kwa michango mbalimbali tu ya watakatifu wote. Lakini kwa mwisho wa mwaka huu wa 2006, tena watumishi wengine waka jitenga wenyewe kwa sababu hawakupata maisha yao ndani ya huduma, maana walifikiri kupata vyote katika kikundi ; kwa ajili ya hiyo wakafikiri kama kiongozi pamoja na katibu walikula pesa za kundi wao peke bilza kukumbuka wenzao; miongoni mwao kuko : KATEMBO KIKWALI, MUDI HARNOLD, WANZA LUENDO, YOSIYA, KAMANDI … Mu mwaka 2007 karibia mwisho, ujenzi na matayarisho yote ilikuwa imefika mwisho, ndipo redio ikaanja kupeperusha vipindi vyake pale kwa mlima wa Base, na ikajulikana kwa jina la « REDIO FARAJA MAOMBI NA INJILI » (RFMI kwa kifupi) (cfr. Doc. Historia fupi ya redio Faraja) Mikutano ikazidi inje ya muji wa Butembo kwa sura ya « RADIO CLUB » (yaani mikutano ya wa sikilizaji wa vipindi), na ni kwa njia ile njo vyumba vya maombi vilizidi kandokando ya muji na vyumba vile vikajulikana kwa jina la « CELLULE DE PRIERE ». Watu walisikiliza neno la Mungu kwa makini, na wengi waliokoka na kuponeshwa mangonjwa yao kwa njiya ya redio, wachawi wa malaya, wizi waliokoka bila hesabu wakati ule Mfano : ZEFANI alikuwa mchawi mkuu katika maeneo ya Vulengya, aliokoka na hirizi zake zikachomwa kwa moto. Picha hii ni ya hirizi za mcawi aliye okoka na zinaenda kuchomwa na moto DORCASSE : piya alikuwa mchawi mkuu na malkia katika maeneo ya Mabambi JOLIE pamoja na MUHINDO, na wengine wengi Mungu ali waokoa kwa njia mbalimbali kutoka katika maisha mabaya walimo tumikia Shetani siku nyingi na wali penda Mungu sana Watu wazima pamoja na wagonjwa, walitokea pande ine za jimbo la Nord-Kivu, kutafuta msahada, na wali saidiwa kwa kweli. Picha hizi ni za wagonjwa walio poneshwa muda ule Mtumishi wa Mungu NDAVANA naye kwa namna ya kipekee alikuwa na ziara zake za kipekee, akitembeleya watoto wake wa imani, pamoja na kushiriki huko kwa mikutano ya maombi pamoja na waombaji wa kimataifa. Picha hii ni ya mtumishi pamoja na watoto wake wa imani pa Nairobi/Kenya Mwaka 2008 ulikuwa mwaka ya mikutano huku na huku, pamoja na kutazama makubwa ya Bwana. Kwa mwisho wa mwaka ule, watumishi BARAKA pamoja na CHRISTIEN NZUNZUMUNA PETROS, walikuja wakafanya seminaire pale ku permanence, na ni wao njo walifundisha watoto wa Mungu kuhusu sadaka mbalimbali za kumtolea Mungu, na zaidi sana walifungua akili za watoto wa Mungu kuhusu sadaka za moja ya kumi. Tangu mwanzo wa huduma mpaka siku zile hakukufundishiwa somo yoyote kuhusu sadaka. Ni kuanjia siku zile njo tunaweza sema kwamba watoto wa Mungu walianja kujitoa kwa kazi ya Mungu ao kwa watumishi wa Mungu. Watumishi wale walieleza piya namna gani Mungu ana watumia ki miujiza huku na kule, na ginsi Mungu anavyo watuma hata kwa ma raisi wainji. (cfr. temoignage ya BARAKA) Mwaka uleule watumishi wengine kwa jina la USHINDI pamoja na BATANGI walitujia, huyu Batangi alitufundisha kuhusu IMANI, baadaye tena JOSHUA MUTUA MWANZA kutoka Nairobi alitujia na somo « NAMNA GANI KUWA BILLIONAIR KATIKA MWILI WA KRISTO », baadaye tena USHINDI akarudi yeye na jamaa yake na wakati ule alionekana kama mtapeli. Mwaka 2009 : mikutano ikaendelea sana, wageni walikuja toka miji mbalimbali. Mu tarehe 29 mpaka 31/01/2OO9, kulikuwa seminaire kunako permanence ya huduma (mu cell. Fatuma 88) ; watumishi kutoka ku ma cellules de priere walikuja ili kueleweshwa tena lengo ya huduma vizuri; na ni kiisha huo mkutano kulifanyika matembezi maalum kwa ma cellules zote za maombi katika muji wa Butembo, kusudi nao waeleweshwe vizuri lengo ya huduma, na matembezi hayo yalielekea zaidi sana : Ecole des disciples, Jeunnesse Kitulu, Jeunnesse Katwa, Cellule ya Malera … ; na waliotembea kule ni : MWIRAWIVU, MALEKANI, GREGOIRE na JOACHIM kama katibu. Mu mwaka 2009, mtumishi ZACHARIA alikuja kutoka Tanzania na alifundisha somo ya uhuru kutoka katika woga na mashaka, na ni kwanjia ya huyu njo Mungu alisema kwamba tangu muda ule kundi haitaitwa tena chumba cha maombi bani ni kanisa, na ma cellules de priere zote zitaitwa ma kanisa. Alitabiri tena mambo mengine mengi. (cf. doc. UHURU TOKA KATIKA MASHAKA) Kwa hiyo tangu siku zile kundi ikaanja kuitwa « KANISA » ; lakini jina kanisa halikutawala. Mtumishi CHRISTIEN PETROS NZUNZUMUNA akarudi tena na « UJUMBE WA SIKU ZA MWISHO ». Watumishi KIKURU na O-O wakakuja tena na kuendelea kuimarisha watoto wa Mungu. Mu mwaka 2010, mtumishi Christien akakuja tena nakufanya ma seminaries kuma kanisa (yaani ma cellules), akafundisha kuhusu kalendari ya roma (calendrier babilonien) alifundisha Butembo, Beni, Oicha , …. Kufikia mwaka 2011, kundi ilikuwa imegeuka na sura ya kanisa halisi, na watoto wa Mungu walikuwa wamepata sura yawa Kristo sababu walikuwa wamefundishwa mafundisho yenye ku faa kwa kanisa, sawa: KUELEWA MEZA YA BWANA, MAOMBI, UBATIZO UNAO FAA, UMOJA, … Kwa mwanzoya mwaka 2012, mtumishi akaanja tayarisha mkutano mkuu ya watoto wa Mungu wote katika huduma nzima. Na mkutano huo ukafanyika pa Kalunguta tangu tarehe …….mpaka tarehe …/…/2012. Katika mkutano huo watu wote walibarikiwa sana naku funguliwa toka vifungo mbalimbali, na ni pale njo Mungu alijifunua kwa mtumishi wake kwamba watu wabatiziwe,na tujulishe kwamba katika mkutano ule mtumishi Kikiru toka Bukavu alialikwa kama mgeni Tarehe ………. Mtumishi wa Mungu akasikia sauti ya Mungu kwamba watu wa shuhudie katika maji imani yao kwa Yesu Kristo kwa njia ya maji mengi. Ilikuwa tarehe ……/……./………., wakati Mtumishi kiongozi wa huduma alitelemushia watumishi wengine karibu na maji ili awatayarishe kwa jambo lakubatizwa nakubatiza watoto wa Mungu, MWIRZA WA YESU alikuwa wa kwanza kuonesha sura na roho yakupinga, akasema: yaani katika huduma yote hakuna mutu anaye stahili kubatizwa na hata anayeweza kubatiza mwengine.Ingawaje ile hali yakupinga, wengine watoto wa Mungu wali nyenyekeya, waka kubali ujumbe huu nakubatizwa. Aliyekuwa wa kwanza kubatizwa katika huduma na aliyefungulia wengine nzia ni Mtumishi Joachim (wakati ule katibu mkuu), kiisha wengine wakamufuata . Baadaye wengine watumishi wa huduma tu wakaendelesha kazi hiyo. Siku ileile, JOSUE , KAMBETU, TIMOTE, TITO, THOMAS, BARNABAS hawakuelewa maana ya kazi hii, wakafanya kikao cha uficho ile siku usiku waka katala mpango wa ubatizo na wakatafuta kushawishi watu wengine wakatae kubatizwa. Kwa ajili ya hao kulipatikana kundi ya watu Fulani wali onesha sura yakukataa mafunuo yaliyo tokeya katika mkutano. Na hata wengine wakaamua kuacha mkutano na kurudi kwao. Mawazo hayo yakupinga yalionekana wazi ndani ya: Mwirawa Yesu, Baba na Mama Melta, Mama Tresor, Janvier na wengine… Mkutano huo ulipokua umekwisha , watu wamerudi kwa makanisa yao; mafundisho ya maimarisho yakaanza kupengema kunako radio na hata ku permanence. Wasikilizaji wakaanza kuuliza kama kwa nini mafundisho ya watumishi fulanifulani yamebadilika? Mtumishi wa kipindi cha kunako radio yaani mzee JEAN BAPTISTE MUHESI, akajiachisha kipindi chake yeye mwenyewe, mu tarehe:………/……../………., akaandika baruha kwamba haone maana yakuendelea katika huduma kwani hawafuate tena lengo ya kwanza ya huduma ya zamani. Mtumishi kiongozi NDAVANA SHAYIPUMA akapata ufunuo wakugawa watu kwa vikundi viwili wakati wa maimarisho, kukawa kikundi cha: 1. Wa Baba kila siku ya ine ya juma 2. Wa Mama kila siku ya pili ya juma 3. Vijana kila siku ya saba ya juma Hii ilikua ni kwasababa aliona watu walikuwa wameanza shawishiwa kupitia mafundisho yenye chachu mbaya. Haya mafunuo nayo yakavitanishwa sana na siku zile hali yakupinga ikaanza onekana waziwazi ndani ya MWIRA WA YESU, akasema kwa mwamba mutu hawezi kuzaa watoto kiisha anashindwa kuwa imarisha, mwengine njo ana muimarishia wao. Mtumishi akapata tena mafunuo kwamba KAMBETU njo asimamie maimarisho ya wa mama na MWIRAWIVU abaki na ya wababa. Akumbe Kambetu naye alikuwa ame shawishiwa tayari, akaonesha hali yakukataa. Ile hewa iliendelea ndani ya watumishi wamoja wamoja na watoto wa Mungu; na ikasababisha hali ya kazarau mpaka wamoja hawakutii tena sauti ya kiongozi wa kundi. Ilikuwa tarehe …/…/… watumishi wamoja wa upande wa Kaina wakaungana na kuandika baruha kwamba MWIRA WA YESU pamoja na NDAVANA watafute siku yakuwajibia kuhusu hali walio onesha Kalunguta. Wakati ule kiongozi yaani mze NDAVANA akaomba rapport ya consomation ya carburant kusudi aitangaze katika mkutano ya watoto wa Mungu. Katibu alipotoa hii rapport, kwamba inaenea dola karibu mia tano (500) kwa kila mwezi (yaani consomation ya radio pamoja na ya ibada mbalimbali kunako permanence); JOSUE aka tangaza bila adabu kwamba rapport hii ilikuwa ya uongo, wakaungana tena pamoja sawa ginsi waliungana Kalunguta, waka anjisha vikao vya kusengenya watumishi wa Mungu, zaidi kiongozi pamoja na katibu. Hizi ni picha za JOSUE pamoja na JEANVIER walio chocheya sana uasi katika kundi Watu wengi waka vamiwa na roho hii mbaya yakupinga uongozi kwa maficho. Hali hii ya JOSUE na ile ya MWIRA WA YESU pale Kalunguta ika zaa hewa mbaya katikati ya watoto wa Mungu. Wakati ule mtumishi NDAVANA akatangaza kwa redio na katika mikutano yote kwamba kila mutu mwenye ana mu jua na kosa yoyote akuje amuharifu; ao kila mutu mwenye alishaka kosea, akuje waongeye kusudi wasameheane. Hakukuonekana hata mutu mmoja aliye mustaki isipokuwa watu fulanifulani tu waliokuwa na mambo wasio elewa bado vizuri. Baadaye mtumishi akaacha kushiriki kwa vipindi vyake kunako redio, kusudi asibebe vasikilizaji ndani ya confusion, maana mafundisho yaw engine watumishi kwa redio na hata ku permanence ilikuwa na ilisha pengema. Tangu siku zile mtumishi akajiepusha mchafu yoyote akaenda jificha chini ya muti (chini ya muti ni kusema mulima mkuu wa maombi) Baada ya hiyo kukaalikwa mkutano mkuu ya watumishi wote pa Ndoluma, ndani ya mkutano ule kulizungumziwa nukta kubwakubwa hizi: Kuzungumzia hewa hii ya upingaji ambayo imevamia kundi nzima Kufikiria finance ya huduma. Mkutano huo hauku fua dafu (réussir) kwa sababu akumbe watumishi wengi walikuwa tayari mateka ya hiyo roho mbaya ya kupinga, KAMBETU, THOMAS, GIDEON, JEAN PIERRE na RUBENI walionesha waziwazi hali ya kupinga mipango mipya iliyo funuliwa, wakakataa mawazo yote kuhusu nukta zile mbili, na walionesha wazi niya yao iliyo watawala “kuzimika kwa huduma”. Mwezi wa sita ya mwaka wa 2012, kukasikika tena katika kundi habari za uashera kati ya katibu Joachim na msichana aitwaye Ryth (mdogo wa muke wake katibu). Habari hizi zilikuwa mbaya zaidi, na zilipokelewa kwa furaha sana na watu wale waliokusudia kuanguka kwa kundi, wakapeleka zile habari pamoja na habari zao zakupinga kazi inayo endelea katika huduma. Watu wengi waliposikiya habari hizi walishangaa kabisa, na wamoja walionesha sura yakuvunjika moyo,… Ilikuwa munamo tarehe 09/12/2O12, pa saha kumi za jioni, huyu msichana akakanusha katika mkutano ya watu wengi ku permanence kwamba ilikuwa uongo mtupu, kwa hiyo watu wamoja wakapima kutulia, na ile kundi ya walio jifanya maadui wa kazi ya Mungu wakaachana kwanza na ile habari ya uasherati, waka beba habari zingine kwamba uongozi wa kundi yaani mtumishi NDAVANA amepindisha lengo ya kundi, kwani amebatiza katika huduma na ameombea wanaofunga ndoa, piya amepora pesa za watu kupitiya caisse ya umoja na projets mbalimbali alizo tangazia watoto wa Mungu, kama vile projet ya ufugo ya pale Muhangi, tena walisema amegeuza kundi kuwa kanisa, wakaanza kuchafua jina la mtumishi kwakupeleka zile habari kati ya watu kwa siri na kushawishi watu wengi sana. Ingawa hata ni Yule MWIRAWIVU na wengine wapingaji ndio walikuwa naombeya watu wanao funga arusi. Picha hii niya MWIRAWIVU aki ombeya ndoa ya mama JUSTINNEpamoja naMUMBERE Na ndugu yake JOSUE ndiye aliyeombeya arusi ya KAVE aliyefanya zamani kazi ya protocol pamoja na dada JEANNINE, ..... Tarehe 24/05/2O13 kukaalikwa mkutano mkuu ya watumishi yaani Assemble Générale pale Mangina, kulikuwa vile programme ya kuombea arusi ya mtumishi BARNABAS, pamoja na kufikiria hewa hii ya vita katika huduma. Baada yakuone hewa mbaya ambayo watumishi JOSUE pamoja na MWIRAWA YESU walikuwa wameingiza katika kundi wakiungana na watu walio nyumba, kukaandikia baruha za matunzo (yaani garage spirituel) kwa wale watumishi.(maana walionekana kuwa wao ndio chanjo cha fujo katika kundi, wao njo walitiya wengine kichwa Nguvu ya kuto kunyenyekeya uongozi wa huduma). (cfr. Baruha za matunzo…) Na hizi baruha zili andikwa kufuatana na makosa yao yakutokutii na kutokuheshimu kiongozi wa huduma. Lakini walipopata zile baruha wakaita waamini wao wote, wakaandika dénociation yaani baruha yao ya tarehe 29/05/2013; Kwamba serekali iamue kati yao na mtumishi, naku muondoa kwa uongozi wa huduma, maana ana ongoza vibaya. Maramoja mu tarehe 05/08/2013, wakaandika baruha ingine ya mipangilio yao mipya ya kundi (gouvernement de transition), waka teua MUSAFIRI BARAKA kwamba ndiye kiongozi wao mupya. Kwa ajili ya ile kiburi yao na kushawishi watoto wa Mungu. Mu tarehe 06/10/2013, waliokuwa watumishi JOSUE pamoja na MWIRAWIVU wakapewa baruha zao za matengo, na ilikuwa ni kwa ajili ya hali yao mbaya waliyo onesha, yakutokuvunjika mbele ya maonyo ya watumishi wa Mungu akumbe walikuwa mbwa za pori. Kwa kweli jambo hili lilileta tena woga na wasiwasi katika mioyo ya watoto wa Mungu, na katika kundi nzima na hata muji wote kwa jumla. Vurugu hii iliendelea kabisa, wakafanya mioyo kuwa migumu, hawakukubali kuvunjika, wakashawishi wengine watoto wa Mungu wengi sana, na ku wachinja kiroho mpaka hata kwenye makanisa ya pembeni. Mfano : katika kanisa la Beni kulikuwa kijana aliyeitwa mtumishi Gideon huyu naye alijiunga na wale wasio tii uongozi, na alichinja sehemu ya watoto wa Mungu pale Beni ; Lubero vilevile kulikuwa Timotheo aliyeitwa Anselme, alichinja watoto wa Mungu pa Lubero. Hali hii ilileta vurugu katika makanisa yote ya huduma, na iliendelea mpaka mwaka 2015. Jambo hili likasumbua watu kabisa, wengi wakajiunga kwa hiyo kundi ya wapingai, huduma ika yumba sana, lakini Bwana akaendelea kushika walio wake. Ikafika mpaka wakaandika baruha yao iliyokufunga mazabahu ya Mungu (yaani Redio FARAJA pamoja na permanence) vilivyokuwa mjini Butembo, la sivyo (walisema kwamba) wanaenda mwanga damu kiyolela katika muji wa Butembo. Kwa ajili ya baruha yao hii (…………………….), na kwa ruhusa yao, vyombo vya kazi ya Mungu vikafungwa na meya wa muji wa Butembo katika baruha yake ya tarehe …/…/… Watoto wa Mungu pa Butembo, wakabaki katika hali ya ukimbizi, wakaanja kufikishia programme zao pale mlimani kwa DENIS, karibu myezi tisa, kazi zote za watoto wa Mungu pale Butembo, zili hamia pale kwa Denis. Lakini pamoja na ile, ni Kahindo pamoja na kundi yake ya protocole ndio waliendelea chunga permanence, wakati piya Josue pamoja na kundi yake walichunga Redio. Picha hizi niza watoto wa Mungu wakisomea kwa DENIS PALUKU Watoto wa Mungu wali vumilia sana hali ya ukimbizi pale kwa Denis Paluku. Na pale Mungu kufuatana na uvumilivu wao. Walivumilia jua, mvula, matukano, kuchekelewa, …. Lakini pamoja na ile yote walitiwa moyo kabisa wakijua ginsi Mungu ni kwa upande wao. Wakati ule Mungu aka jichaguliya kati ya watoto wake kundi ya watumishi waliojulkana kama WATUMISHI WA NYIMBO ZA TENZI Watumishi hao walikuwa wakipokeya mafunuo ya nyimbo za rohoni, waka zitiya kwa ma CD na ma CM kwa njiya yaku zitengeneza katika studio. Ingawa kazi hii ili omba garama kubwa, lakini Mungu asifiwe kwa sababu kwa njiya hii tulipata nyimbo zetu katika huduma ao nyimbo za huduma Lacement ya nyimbo hizi ilifanyika Butembo mu tarehe……/……/…. Na ni kwa njiya ile watu wote wakaruhusiwa kuimba nyimbo zile Hizi nyimbo zilijulikana na watoto wa Mungu wote katika makanisa yote ya huduma. Watoto hao yaani watumishi wa nyimbo za tenzi waliimarishwa na Mungu chini ya muti, yaani katika miguu ya askofu Ndavana kiongozi wa huduma, na muji ule ambao tuliita chini ya muti ao tena muji wa makimbilio ulipatikzana MAKEDONIYA ambako zamani kuliitwa MAKILIDOU, ni mu province Orientele/DRC wakati ule Wakati fulanifulani Askofu alikuwa nafika Butembo kwakuja kutiya watoto wa Mungu yaani kanisa moyo kama vile pa Butembo Wakati ule kanisa la Butembo lilikuwa likiongozwa na watoto wa Mungu walio ungana kwaku tiya moyo watoto wa Mungu, nao walikuwa: JOEL KAPAKASI, KALENDI PAMUKI, FAUSTIN, MUYISA KINGELEBU, na wengine Munamo tarehe …/…, watoto wa Mungu waka anja kusomea pale mu av.Bamathe/Butembo, (kulikuwa chantier ya papa KIWEDE ao famille PERUZI). Ni kwamba muda yao yakusomea kwa Denis ilikuwa imefika mwisho. Wakati ule wakaita pale kwenye walihamiya tena kwa jina la (maternite), wakakuwa na lipa louage ya mahali pale mpaka siku Mungu atakapo wakumbuka tena kuwapa mahali pengine. Lakini chaku shangaza MUYISA KINGELEBU ambaye alijulikana kuwa mume wa dada NAOMIE huyu aliye itwa zamani katika dini ya wazazi wake CHANTALE na sasa alipookoka akabadilisha jina na akafanya kazi ya protocol katika huduma, zaidi kunako permanence; hawa wakafanya nao tena mpango yaku jitenga kwa watoto wa Mungu. Shabaha yao ilikuwa ili waanje kundi yao; hao waka shawishi CHARLINE, REHEMA, na papa DALOS lakini hawakuweza watu wengi zaidi ya wale, wakaenda nao wakaanja kundi yao Ingawa ile watakatifu wa Mungu waliendeleya kutiwa moyo na kukomaa na kanisa na hata huduma yote ilikomaa sana siku kwa siku Picha hizi ni za ibada fulani fulani wakati ule Hata ni wakati ule kanisa la Butembo walifikiya kiwango chaku nunua parcelle nzuri ya samani sana pale katika Q. KAMBALI Vyombo vya Mungu vilipo endelea kufungwa muda wa siku nyingi (karibu mwaka mzima na zaidi), ilipofika nyakati fulani, mtumishi wa Mungu aliendelea kuendeya wakuu viongozi wa jimbo, kwa ruhusa ya Assemblee Générale, kwaku waonesha mwangaza ulio katika dosari hii. Ilifika kiwango kwamba hata hata kama wakuu wajimbo waliandika vibaruha kwamba vyombo vya watoto wa Mungu vifunguliwe, meya wa muji wa Butembo haku kubali kuvifungua (hatujui kwa nini) ; wakati ule aliyekuwa meya wa muji alikuwa ni SIKULI UVASAKA MAKALA, aliyejulikana kwa jina la KAPIPI. Siku zilipo zidi, huyu meya pamoja na lile kundi la wasiopenda enjili ihubiriwe, kwa manyanga isiyo julikana wakajifanyia mabaruha yakufungua vyombo vya kazi ya Mungu, mu tarehe …/…/…, wakafika kunako permanence na saha tisa za jioni pamoja na ma askari polisi wenye silaha, wakafungula permanence kwa makazo (walitumia nondo yaani marteau), papo hapo wale ma polis wakaelekeya kunako redio, nayo waka ifungua , na ni tangu siku ile waka riti vyombo vya Mungu kwa makazo kabisa, wakaanja kupeperusha vipindi vyao kunako redio FARAJA, na wakaanja kufanya mikutano yao kunako permanence. Munamo tarehe 09-11/1/2015 mtumishi akaita watumishi, ma pastas wote wa makanisa yote ya huduma, ni pale njo wali kamata mpango yakuandika kilio na malalamiko ya watoto wa Mungu, na wakaamua kwamba baada ya baruha hii jambo hili lina achiwa Mungu (yaani Mungu njo afatilie jambo hili kabisa). Tangu siku hii, tuta endelea na kazi ya Mungu kama kawaida (cfr. Baruha ya kiliyo na malalamiko ya watoto wa Mungu) Ni baada ya ile yote, kiisha siku nyingi kabisa hali ikibaki tu vilevile, njo watoto wa Mungu wakaamua kusamehe yote yaliyopita, pamoja na wote waliofanya fujo katika kundi, na kuanja kila kitu upya kabisa. Kuliandaliwa mkutano wa enjili katika muji wa kilo (ni katika maeneo ya Kalunguta) mun,amo tarehe 09 mpaka 11/04/2O15. Mkutano huo ulikuwa faraja kwa watoto wa Miungu katika huduma yote, ingawa ilikuwa kama mzogo mzito, lakini watu wengi waliokoka kabisa, zaidi ya wa makumi mbili (20) ; na ilikuwa kanisa la kilo lilianja siku ile pale KILO. Baada ya hiyo mkutano mtumishi wa Mungu alipopata habari za ushindi za mkutano huo, akaelekea huko makedonia kuenda kushukuru Mungu kwa faraja hii ambayo Bwana ana tufariji nayo. Mu tarehe 31 /05/2015 kulifanyika maombi maalum katika muji ya Beni kutokana na ukosefu wa salama iliyo ji tokeza katika territoire ya Beni, na tangu siku ile salama ili onekana kabisa. Ndio maana kuli andaliwa tena mkutano mkuu wa shukrani kwa Mungu kwa ajili ya utendaji wake mu territoire ya Beni. Mkutano huu uliitwa (operation changer nationalite) na ulikuwa na mambo karibu ine yaku fanya : Kuhubiri muji wa Beni Kuombea watumihsi wa Mungu toka makanisa yote Kutangazia watu kuhusu mchango ya ununuzi wa permanence ya Beni Lancement ya nyimbo za tenzi Baada ya hiyo maamuzi njo watoto wa Mungu wakaendeleya na kazi ya Mungu bila tena kudjali mzozo yakutokeya huku na kule. Ndipo waka andaa tangu tarehe 27 mpaka tarehe 30/08/2015 mkutano mkuu iliyo karibisha watoto wa Mungu wote pale Beni (KAMBING) katika somo kubwa OPPERATION CHANGER NATIONNALITE, Wakafanya piya mikutano yakuombeya hali ya inji zaidi ni mu wakati territoire ya Beni ilisumbuliwa na watu walio chinja wakaaji kama nyama, mikutano ikafanyika mingi yakuombeya territoire hii Kukafanyika tena mkutano ya wafanya biashara wote katika huduma pa Beni, mu tarehe …./…./2015 Wakati ule kuka karibishwa mama DJEFA pamoja naye PADON kutoka muji wa Nairobi, ni huyu mama ndiye aliye leta ujumbe toka Mungu kwamba muda ya Askofu NDAVANA kukaa porini umekwisha, lazima arudi nyumbani kulinda kondoo ao watoto wa Mungu kwani wame garagara siku mingi kama kondoo wasiokuwa na mchungaji Baada ya hiyo kulifanyika tena mikutano ingine mingi sawa vile tena mu tarehe 07-10/O4/2O16 wakakusanyika tena mapasta wote wa huduma pale KAMBING/beni wakipewa muelekeyo ya kazi Papo hapo tangu tarehe 30/O5/2016 kipindi kikaanjishwa kunako redio VUOS ya Beni; kipindi USHIRIKA WA WATEULE, kili peperushwa na Askofu NDAVANA SYAIPUMA na akishindikizwa na watoto wake wa imani kama vile RACHELLE, JOACHIM,… Na somo zile za kipindi zilitumiwa katika makanisa mengine ya huduma kusudi watu wote wafuate yale mafundisho mazuri yenye kuandaa wateule yaani watakatifu kunyakuliwa Wkati ule mtumishi aliendaleya kutiya watoto wa Mungu moyo naku wapanga kwa mustari ya usawa kufuatana na hali ya ukosefu wa salama katika maeneyo yote ya territoire ya Beni. Mu tarehe 29/05/2016 kuli tangaziwa katika huduma yote somo yakuleteya watoto wa Mungu FURAHA (wafilipi 4:4-9) na siku ile askofu Ndavana alihudumiya kanisa la Butembo, pamoja na siku ya kwanza ya juma ifuatayo (06/06/2016) (MWISHO YA PREMIERE PHASE
(cad depuis 2000 jusqu’à début 2017) Tangu myaka 1998, inji ya Congo ilikuwa na matatizo mengi sana. Salama ya wakaaji haikuwa hata kidogo, watu waliishi katika hali yaku jiogopa, kuporwa mali zao, wamama kubakwa ovyo ovyo, wizi, unyanganyi huku na kule. Hii ni picha ya muji wa Butembo wakati wa mlio wa masasi Wakati ule kulikuwa mtumishi wa Mungu katika muji wa Butembo ambaye alipata kweki ufunuo wa enjili iliyo hai kutoka kwa Mungu, aliitwa mzee NDALIKO KALMELA. Mzee huyu alihubiri enjili kwa kweli, na alikusanya watu wengi walio okoka, kwenye makao yake pale iliyopatikana siku zile ku barabara kuu ya muji wa Butembo. Ilikuwa (opération sauvetage), ni pale njo watu waliokuwa wameonja utamu wa habari njema walikuwa nakutana kila mara kwaku jiimarisha, kwani hakukuwa enjili ya kweli kwenye madini siku zile.Sasa mtumishi yule alipo endelea sana katika mafundisho yenye kusema kwamba mutu akiokoka hawezi tena kutenda zambi, waamini wengi wakafurahia yale mafundisho kabisa. Mtumishi mmoja kwa jina la
NDAVANA SYAIPUMA naye akaambatana na mafundisho yale maana alikuwa ameokoka siku zile, na pale watoto wa Mungu wengi waliimarishwa kupitia mafundisho ya mzee huyu NDALIKO. Lakini dini ya ki protestanti walipiganisha sana yale mafundisho, watu waka sambazwa, waka baki katika ukiwa kiroho. Kiisha mtumishi
NDAVANA na wengine wamoja wa dini ile ya ki protestanti walio okoka, wakafanya vikao na maombi, kuona kama watu watahubiriwa tena namna gani, na kwa njia gani maana watu ya dini walikuwa wamepiga marufuko mtumishi NDALIKO aliyekuwa msahada siku ziule kwa watoto wa Mungu. Ni kwa njia ile vikao na maombi makubwa ya wale walio sambazwa wakiungana na mtumishi
NDAVANA, vikazaa mawazo yaku nunua redio, ili watu wahubiriwe kwa njia ile. Redio ile ika nunuliwa, n ikatumika chini ya dini ya CBCA (redio ya enjili ya Butembo). Siku zile, mtumishi huyu
NDAVANA akapewa pale kwa redio kipindi cha dakika tano tu « ombeni pasipo kuchoka » . Watu walifata naku furahia kipindi kile maana kilikuwa jibu na dawa kwa kui iliyo kuwa ime jiumba katika mioyo ya watu wa Mungu, waliosambazwa na kukosa enjili ya kweli. Watu walipo sikia enjili imehubiriwa tena kwa redio hii naye mtumishi
NDAVANA, waka pumzika sana na kwa hiyo kukawa mikutano ya redio club, katika ma zehebu ya wa protestant (cbca Kimemi) na kwa njia ile walio amini katika mikutano hiyo, waka saidia pamoja na dini ya ki protestanti waka saidia kwa kulipa pesa zilizo nunua redio hii. Ni kwa ile kipindi njo kulipatikana mutu mmoja mwana siasa kwa jina PALUKU KAMAVU ERIC, huyu alisikia neno la Mungu. Baadaye kidogo viongozi wa dini ya kiprotestanti tu wakapigana na mafindisho yale ya mtumishi
NDAVANA kunako redio, waka mfukuza kwa redio kwasababu alisema kwamba watu wa kemeye mapepo, ingawa katika dini yao wao walijua ma pepo hazikuwake. Kwa hiyo wakafanya hila kwamba wanamufanya kuwa Evangeliste wa poste, akumbe ilikuwa njiya yaku mukimbiza kwa redio. Alipokimbizwa tena watu wakabaki ndani ya ukiwa mkubwa sana ; mtumishi huyu naye akabaki nyumbani kwake, akiomba nakusoma biblia. Mwaka 2OOO, PALUKU KAMAVU Eric aka teuliwa kuwa meya wa muji wa Butembo . Alipoona ginsi muji hauna amani na hata inji yote, akaona ya muhimu atafute mutu wa Mungu, pale akakumbuka kutafuta mtumishi aliye musikia kwa redio, yaani
NDAVANA, Wakaongeya juu ya hali ya ukosefu wa salama katika muji na inji, piya wakaongeya juu ya namna ya kuongoza muji wa Butembo. Ni pale njo kulitoka mpango kwamba meya wa muji aite watu kwa mkutano mkuu wa maombi, na mtumishi
NDAVANA akafundisha (hii ilikuwa sasa munamo mwaka wa 2OO1) Ukosefu wa salama ulipozidi kabisa, masasi kila asubui, yenye kusababishwa na vikundi mbalimbali vya wa maimai walio tokea Vurondo, Kahamba, Kivira, Kitovo, Luotu, Lukanga, Muhola, kasitu… Kwa jumla, kosefu wa salama huu ulitokana na Wa maimai walio zunguka muji wa Butembo pande zote, na hata mahali kote katika territoire mzima ya Lubero na Beni Upande mwingine, wageni waliokimbilia katika inji yetu Kongo kutoka upande wa Rwanda wakati wa Génocide yaani mauwaji makubwa yaliyo fanyika huko kwao Rwanda munamo mwaka 1994, walio itwa wa FDLR. Wali kosesha salama katika materritoires za Rutchuru, Walikale, Masisi na zaidi sana, katika territoire ya Lubero wali sumbua sana katika maeneo ya Kasuo, Kagheri, Ndoluma, Alimbongo… Baada ya mazungumuzo yao wawili, wakapatana kusaidiana kutafuta salama ya muji na inji nzima, kwa njia yakukusanya wakaaji wote wa muji na kandokando ya muji, pamoja na kila mutu anayeona hatari ya muji wa Butembo na kandokando ili waombe Mungu kwa ajili ya muji wao. (ITimoteo 2 :1-5) Wakati uleule, mtumishi wa Mungu
NDAVANA SYAIPUMA akaomba tena kipindi cha kuhubiri enjili na kuomba kwa redio moja ya muji iliyojulikana kwa jina la « RADIO GRABEN ». Redio hii ilipeperusha vipindi vyake kutoka kwa mlima wa NGESE. Kipindi hiki cha mtumishi wa Mungu kiliitwa tena: « OMBENI PASIPO KUCHOKA », na kilikuwa na peperushwa kila siku asubui mapema (5h00 za asubui) na kili saidia nakufariji watu wengi sana katika muji na kandokando kote ambako redio hii ilisikika. Kila siku asubui mapema alilamukia kwa kipindi hiki kutoka nyumbani kwake Masuli pa Katwa, na kuna wakati mtumishi huyu alikuwa na amuka asubui hata wakati wa muripuko ya masasi, alienda na bidii, bila kuogopa, na hii ilikuwa faraja kwa wasikilizaji wote.
Unite dans la priere ilianja munamo mwaka 2001 kama Association ao kikundi chaku kusanya watu kutoka zehebu mbalimbali ili waombeye inji na muji wao kwa Mungu kufuatana na hali waliyo ishi siku zile. Basi ilikuwa munamo tarehe …/…/2001, tangu saha ……… mpaka saha ………. Pale katika uwanja wa DENIS PALUKU, mkutano wa kwanza wa kuombea inji ulifanyika, na Mungu alijifunua kwamba yuko tayari kusamehe inji naku iponya ikiwa watu wata nyenyekea kuomba na kugeuka kwa njia zao mbaya (2mambo ya siku 7:14-15) Maombi haya yalizaa matunda mazuri sana tena mengi kabisa, na ni kwa ajili ya hiyo meya wa muji mzee PALUKU KAMAVU ERIC akatiya mtumishi wa Mungu nguvu na moyo, naku muomba aendeleye na mpango huo wa kuombea muji na inji nzima. Kwa hiyo mtumishi aka anja kupangilia mikutano yakukusanya waombaji kutoka vikundi mbalimbali na mazehebu mbalimbali, na watumishi wengine wakaungana wote nakuunga jambo hili mkono mpaka likaendelea. Basi, meya wa muji mzee ERIC KAMAVU alitangaza kwamba jambo hili litafanyika kila mara, na maombi yaendeleye bila kukoma, kusudi tupate amani katika muji wetu; na pale tena, meya wa muji akazidi kutiya mtumishi
NDAVANA moyo; kwani sura hii ilikuwa mupya kabisa katika eneo nzima, watu wa dini zote kuombeya pamoja. Mikutano ikafanyika kwa umoja na ushirika mjini Butembo katika ma hekalu ya mazehebu fulanifulani sawa vile: - CBCA Kimemi - CBCE Vungi - ANGLICANE Kiltulu Wakati ule watu wengi walikuwa na tokeya miji ya kandokando kuja kushiriki kwa kazi hii; miongoni mwao tunaweza kutaja kijana mmoja kwa jina la KAMBALE SAMMY aliyekuwa mkaaji wa muji wa Kalunguta, kijana huyu alikuwa sujaa sana, nan i huyu aliyekuwa mmoja wa wa missionaires wa kwanza katika huduma hii. Ni huyu ndiye alianjisha kazi ya maombi pa Kalunguta, mpaka kanisa likazalika pale kiasi kwamba wengi wa watoto wa Mungu pale Kalunguta leo, ni watoto wake wa imani Mikutano iliendelea sana hazarani (yaani uwanjani mwa DENIS PALUKU) na matokeo ikaonekana wazi, Mfano : Munamo mwaka 2OO3, wahuni wa maimai walianja kutoka katika mapori nakuanja kurudi wengine kwenye ma jamaa zao na wengine kuingiya jeshini. Mmoja wa watu waliokuwa wakiombea salama ya inji na akaona matunda ni mtumishi wa Mungu papa TSONGO JULES aliyekuwa katika muji wa Muhangi ; mtoto wake kwa jina la ARKIPO alitoka porini nakurudi kwa jamaa yake. Walipoona matokeo haya mazuri, watumishi wakaanja kufikiria jambo hili; ndio maana vikao vya watumishi pamja na maombi mengine vikazidi na vilifanyika katika makao ya watu binafsi, sawa : Makao ya papa ILONGO pale mu avenue Beni Makao ya papa KASUNZURA mu Q. Vungi Zaidi maombi ya kila juma yalifanyika kila siku ya tano munamo hekalu la zehebu ya Anglican pale Kitulu, na wakati ule permanence na mipango ingine ya uongozi vikaendelea katika makao ya Kasunzura pa Vungi. Wakati ule watu wengi kutoka huku na kule wakajiunga, watumishi kutoka mahali kote kama vile mama FEZA SHAMAMBA pamoja na mume wake, wali kuja omba pamoja nasi kutokea Kinshasa ; mtumishi mwengine BRUTON BUBERWA naye alikuja kuomba nasi kutoka Tanzania na wageni wale wali endelea ku imarisha waamini kwa njia ya neno la Mungu. Permanence na kazi za uongozi vikahamia ku Cellule Fatuma n° 88, ambako ilikuwa ni nyumba ya papa MUHASA (ndugu yake na papa ALPHONCE, ambaye huyu naye alijiunga kwa kazi hii na alikuwa mmoja wa watumishi walio fanya kazi bega kwa bega na mtumishi
NDAVANA). Kwa mwaka ule tu, kukafanyika kikao kikuu cha watumishi wote walio onekana kama wameelewa lengo ya kazi hii, chini ya uongozi wake mtumishi
NDAVANA, kikao hiki kilijulikana kama Assemble général ya kwanza tangu kazi hii ilipoanja. Wakati ule mtumishi aliye saidia kwa mambo ya uandishi alikuwa ni KASEREKA MUHAYIRWA JOSEPH (aliye julikana kwa jina la DJEPH). Watumishi wengi waka tembea na mzee
NDAVANA bega kwa bega miongoni mwao kuna: MUHINDO NGENDO PALUKU MWIRAWIVU KIKOMBI SYRILE KASEREKA MALEKANI…. Muda ule wakakubaliana kusimamisha kundi hii kama ASSOCIATION, (yaani ushirika wa watu wanao tafuta uponyaji wa muji na inji yao kwa njia ya maombi), na association hii ikaitwa ASSOCIATION CHRETIENNE DANS L’UNITE DE PRIERE (ACUP kwa kifupi). Statut ikaandikwa wakati ule mu tarehe 16/06/2003,baada yaku kusanya mawazo mbalimbali ndani ya ensemble generale iliyo fanyika siku ile kama vile ensemble ya kwanza kabisa ya kikundi hiki. Lengo ya kundi ikawekwa juu ya kartasi kusudi kila mutu anaweza kuisoma pale ao ku ipewa, (logo ya kikundi ikakubaliwa kuwa hivi): Walishiriki kwa kikao hiki watu wengi na waka wachagua watu wafuatao kuwa waongozi wa kikundi: 1. Président :
NDAVANA SYAIPUMA 2. Vice - président : 3. secrétaire : KATEMBO - MUHAYIRWA 4.Conseiller : PALUKU KAMABU Eric 5. Conseiller : MUHINDO NGENDO 6. Conseiller : KASEREKA ALPHONSE 7. Conseiller : KASEREKA MALEKANI 8. Conseiller : CYRILE KIKOMBI 9. Conseiller : MALONGA EUGENE 10. Conseiller : MWIRAWIVU Kazi ikaanja sawasawa na watu kutoka pande zote wakajiunga kwa kazi na makundi mengi toka pande zote, zika jiunga kwa kazi kwakuungana na kikundi hiki. Siku zile wababa, wamama, vijana na wasicha wengi kabisa waliikaliya kazi ya Mungu na roho moja wakifanya kazi mbalimbali kama vile Kwa ngambo ya protocole : papa ALPHONSE, kijana JOACHIM, mama MUSAYI, mama FURAHA,papa VALERI, JEANINE na KAVE , BEJAMAIN,NAOMIE(aliyeitwa zamani CHANTALE)…. Intercession : MUDI HARNOLD, MALEKANI, ROGER, Com. SPIRITUELLE:
NDAVANA yemwenye kama kiongozi wa kundi, MUHINDO NGENDO,KIKOMBI SIRILE, EZECHIAS, OLIVIER KAYANI,… na waengine watumishi wa makundi zingine za maombi; kwa sababu wengi walijiunga kwa kazi hii ingawa hata wakiwa na kazi zingine katika makundi na ma zehebu zao Com. Ya FINANCE: baba na mama MELTA, mama BAMBA, … Wazee walio jiunga kwaku sukuma kazi: mzee SUMBUSU MARC,mzeeTALULIVA,mzee DEO WIKONGO, mzee ILONGO, mzee MAKWATA, pamoja na wengine wengi Kazi ikaendeleya sana na kundi ika julikana sana katika muji na kandokando Muda ule mikutano ika fanyika kandokando ya muji wa Butembo kwa sura ya mikutano ya “radio club” kama vile Mambira, Mabambi, Lutambi…, na watu wengi waliokoka kule, kama vile THOMAS VIRUGHO, KAISAVIRA, DANIEL… Watumishi wale waliojulikana kama watumishi mashuhuri wenye bidii ya kazi walikuwa:
NDAVANA SYAIPUMA: huyu ndiye aliyekuwa kiongozi mkuu na muanjilishi wa kikundi, alikuwa kwanza mtumishi (ao évangeliste) katika zehebu la CBCA , ni kule alitoka wakati Mungu ali mubebesha mzigo wa kuhubiri enjili ulimwenguni kote. KASEREKA ALPHONSE: huyu alijiunga kutoka zehebu ya ki protestanti ya CBCA Butembo cite (alikuwa mmoja wa viongozi ao comité katika zehebu lile). Ni huyu Alphonse njo alienda fanya biashara yake huku Byakato kwa mwaka………………., na ni kwa njia ile alitayarisha kule mkutano mkuu, watu wengi waka alikwa kwa huo mkutano, na watu wengi waka okoka pale, kikundi cha maombi (yaani cellule de priere) kika anja pale Byakato, kukaonekana watoto kama vile: Zakayo, Yosiya, Kasereka (leo anaitwa Kalebu), Kiware,… PALUKU MWIRAWIVU: huyu alijiunga kwa kazi kutoka katika zehebu ya ki protestante ya CBCA Kalimbute (alikuwa mmoja wa waalimu kule) KIKOMBI CYRILE: huyu alijiunga akiwa vilevile na maoni yake, akiwa pasta wa kanisa lake la MCFDiVi (yaani Mission du Christ Fils du Dieu Vivant) lililopatikana katika Q. Kitulu mjini Butembo. MALONGA EUGENE : huyu alikuwa pasta msaidizi katika kanisa la CYRILE KIKOMBI(yaani MCFDiVi) MUHINDO NGENDO : huyu alijiunga akiwa kiongozi wa kikundi chake cha maombi (JEUNESSE KITULI) akajiunga pamoja na kikundi chake kile (yaani kikundi kile kikakuwa kama tawi ao cellule ya Association ACUP) KASEREKA MALEKANI : huyu naye alijiunga akiwa na kikundi chake, (ECOLE DES DICSIPLES), naye aka jiunga pamoja na kikundi chake kile nayo ikakuwa cellule ya pili katika Association ACUP. Wakati ule permanence ikarudi tena pa Vungi kwake papa KASUNZURA, kule kukafanyika kazi za ofisi na maombi mengine kama ya makesha na mipango mingine mimi yakuendelesha kazi mbele. Kwa siku zile, mtumishi
NDAVANA aka muachia mwenzake MUHINDO NGENDO kipindi chake cha kila asubui kunako redio graben, na wakati ule redio hii ilikuwa imehamia katika muji (centre ville) (mu Av. DU MARCHE). Na huyu Ngendo alijichagulia katikati ya watoto wake wa imani mmoja ambaye alikuwa na mu saidia kwa kipindi kile (na yule mtoto alikuwa msichana kwa jina la ELIZA) Tena kwa siku zile Association ilikuwa na kipindi kingine (YESU MSAHADA) kilikuwa na pita kunako RTNC kila siku ya pili tangu 8h00 mpaka 8h30) na wakati ule redio hii RTNC ilikuwa na peperusha vipindi vyake pale ku soko kuu ya Butembo ; na ni KIKOMBI CYRILE pamoja na kijana JOACHIM ndio walikuwa na pitisha kile kipindi. Baadaye munamo mwaka ule ule wa 2004, Yule MUHINDO NGENDO akaanguka katika zambi ya uasherati, alisharatika na motto wake wa imani Yule ELIZA, akachukua mimba, akazaa motto. Papo hapo habari hizi zilipo chunguzwa vizuri naku hakikishwa, akatengwa mu tarehe 11/04/2005 toka katika kikundi, yeye pamoja na msichana yule, kwa hiyo kikundi chake (yaani jeunesse Kitulu) kika yumba sana karibu naku zimika lakini wamoja wa watoto wake wa imani waliendelesha kikundi (miongoni mwao: MUSAFIRI, ANISETH…). Watu wale walipo fukuzwa kutoka katika kundi kwa ajili ya makosa yao, mtumishi
NDAVANA akarudilia kipindi chake na aka ji tafutia mtoto JOACHIM ku mushindikiza kwa kipindi kile, kila siku asubui (5hoo -6hoo), na jina ya kipindi haikuwa tena OMBENI PASIPO KUCHOKA kikaitwa “ MAOMBI SILIHA” ; Kukawa na mkutano mkuu wa maombi mwaka ule, na ali alikwa dada ANGELA KIBALONJA kutoka Nairobi, aka burudisha mkutano huo kwa nyimbo za sifa, watu wakafurahi sana na ile ika vuta watu wengine wengi kujiunga kwa Kristo. Muimbaji huyu mashuhuri alipangia pale Malera kwa baba mmoja tajiri, aliyeitwa SIKULIHINGA, ambaye naye alijiunga kwa kazi hii kutoka katika zehebu yake ya CBCA . Huyu ali nunua vyombo vya sauti, akavitoa sadaka katika kundi kusudi vi saidiye wakati wa mikutano mbalimbali iliyofanyika katika kikundi. Yaku shangaza, alipoona kwamba NGENDO ametengwa katika kundi, papohapo akaomba arudishiwe sadaka zake zote alizo toa. Akarudishiwa vyombo vile vya sauti, na kwa mwisho akafukuza mtumishi
NDAVANA katika nyumba alimokuwa akipangia pale Kalimbute (kwani ilikuwa ya SIKULIHINGA), ingawa hata mtumishi hakuwa na deni yoyote. Haijulikane wazi kama ilikuwa sababu ya nini njo maana aliomba arudishiwe sadaka zake zile, lakini ilionekana kama ilikuwa sababu yaku mtenga Ngendo aliyefanya zambi katika kikundi. Muda mchache tu baadaye, mtumishi KASEREKA MALEKANI naye akavumbuliwa kuwa mzinifu piya pamoja na mtoto wake wa imani aliyeitwa …………………… , mu tarehe 25/07/2005, Wakapewa baruha yao ya matengo, na wakatengwa kabisa, sawasawa na maandiko matakatifu. Piya MALONGA EUGENE naye aka naswa katika ileile zambi na mtoto wake wa imani aliyeitwa SOKI, naye akatengwa kutoka katika kikundi papo hapo. Kukaonekana kijana mwingine naye kwa jina la BEJAMIN, yeye hakuwa mtumishi, lakini alikuwa mwanamemba mwenye bidii ya maombi ndani yake; naye akaanguka naye katika ileile zambi… Wakati ule wababa, wamama, vijana wengi sana walipenda Mungu na wakaikalia kazi ya maombi, miongoni mwao tunaweza kutaja : Mama LAELE, Mama FURAHA, JOACHIM, MWISA KING., ROGER FIMBO, JOEL KAPAKASI, TAWITE, EVARISTE, JONATAN, Papa VALERI, THOMAS VIRUGHO, da KAVE , Mama KIPUTSU (aliye badilishwa kuwa Mama SALOME),… Wakati ule meya PALUKU KAMAVU ERIC alikuwa ame inuliwa kabisa katika kazi kwa ajili yaku mheshimu Mungu, yaani alikuwa hayuko tena katika muji wa Butembo ; aliyekuwa meya wakati ule alikuwa ni JULIEN PALUKU KAHONGYA. Semina na mikutano zilizidi sana ku permanence na hata katika ma salle polyvalente, kama vile mu tarehe 22/05/2004 kukafanyika seminaire ya ma couples iliyo simamiwa na kiongozi wa kundi yaani mtumishi
NDAVANA, somo ilisema UNYUMBA PARADISO YA ULIMWENGU. Pamoja na ile kulikuwa tena semina ingine ambamo tulipokea ujumbe ulio tujia kutoka KOREA, ujumbe huu uliletwa na watumishi wa Mungu: Past. SENGA AIMER Ev. KAVIRA akishindikizwa na waSœurs JINA, JEUDI, FATU pamoja na ESTER wakitokea Goma, na somo ilisema NI WAKATI WA MUNGU. Hali ya wa tumishi ikaonekana kuwa mbaya kabisa, watu wakaanja kurudi nyuma polepole, yaani bidii ya watu wengi ika pola kwa ajili ya mchafuko ya watumishi; na hata watumishi wengine waka jiachisha kazi wao wenyewe. Ingawaje vile lakini mikutano iliendelea mara mbili kwa kila mwaka ginsi ilivyo kuwa kawaida, na kazi ikaendelea kwa nguvu za Mungu, ingawa watu walionekana wenye kuchoka na jina ya kikundi likachafuka, kwa ajili ya zambi za watumishi. Siku zile kukafanyika mkutano mkuu wa ufungulifu wa muji wa Butembo, kukawa kuzunguka katika muji yote ya Butembo, (kuanjia rond-point cathedrale kushuka mu barabara kuu ya muji yaani grand route-kupanda MGL- kutokea ITAV- mpaka kuishia kwa DENIS PALUKU mu uwanja ambako kulifanyika kazi kuu ya maombi ya ufungulifu wa muji) meya wa muji wa Butembo wakati ule alikuwa JULIEN PALUKU KAHONGYA, naye akashiriki kwa kazi hii kubwa ya ufungulifu wa muji wake. Hii ni picha ya watoto wa Mungu wakifanya maandamano ya ufungulifu Wageni wengi kutoka inji za kigeni na miji ya pembeni walikuwa waki alikwa kwa mikutano hiyo ; miongoni mwao kuna mfano : ANGEL KIBALONJA na mume wake ELISHA MULIRI…, Picha hizi ni za mikutano fulanifulani wakati ule Pamoja hiyo mikutano ilifanyika katika maeneo mingine vilevile kama HUTWE, KASEGHE, MUHANGI, VUYINGA, … Na kwa wakatakati ule kiongozi wa kundi aliendelea kuwa
NDAVANA SYAIPUMA na katibu wake alikuwa ni KASEREKA MUHAYIRWA aliye julikana kwa jina la DJEPH. Tarehe 1/07/2OO4, mtumishi MUDI HARNOLD na MUHINDO pamoja na KAMBALE JOACHIM waka tumiwa kwa kazi ya Mungu pa KASUGHO, kule wakaonana na viongozi mbalimbali na wakaanda mkutano mkuu wa maombi katika maeneo ya kule Kasugho, ambako kulikuwa ukosefu wa salama ulio sababishwa na wakimbizi wa kinyarwanda wa FDLR waliokuwa wamekimbiliya katika inji ya Kongo kutoka kwao rwanda munamo myaka 1994. Nao walishiriki kwa mkutano huo, na wakashukuru sana kwa mafunuo hayo (cfr. Rapport du travail de Kasugho). Kutoka Kasugho kukafanyika tena mkutano ingine pa MUHANGI/MAMBIRA munamo mwaka 2004 ; Piya kulifanyika mikutano mbalimbali ya watu aina yote, sawa vile vijana (cfr doc. kikao cha matayarisho ya mkutano ya vijana) Tarehe 23 mpaka 30/05/2004 Kiongozi mtumishi
NDAVANA pamoja na kundi kubwa la waombaji waka peleka habari njema upande wa KASEGHE, KIRUMBA, HUTWE, na kule watu wengi waliokoka naku muachiya Yesu maisha yao. Baada ya ile kukasikika tena habari zingine za uasherati wa aliyekuwa katibu siku zile (yaani DJEPH), jambo hili lilipo endelea kusikika aka jiachisha kazi yeye mwenyewe, na papo hapo tangu mwaka ule kijana JOACHIM akateuliwa na kiongozi wa kundi kuwa katibu, na jambo hili likakubaliwa na watu wote kwani kijana huyu alikuwa na bidii ya kazi ya Mungu, tena alikuwa ametayarishwa kwa kazi hii kupitiya comission ya protocole ya lile kundi. Mu tarehe 20/08/2005, DJEPH vilevile akapewa baruha yake ya matengo, akaenda katika mambo mengine yaku saidia maisha yake Munamo mwaka 2OO6, kukafanyika tena mkutano mkuu wa kualika watumishi wote waliokuwa wangali na shikamana na imani yao wakati wengine walikuwa wame jiachisha kazi na wengine kutengwa kwa ajili ya makosa yao. Mkutano huo ukatangazwa kuwa ni Assemblee Génerale na katika mkutano huu kukazungumziwa nukta mbalimbali zakuelekea kundi na kuka kubaliwa kufanyike ammendement ya statut ya Association Chetienne de l’Unite dans la Priere (ACUP) kwani ile jina ilikuwa imechafuliwa mu ma zambi za watumishi fulanifulani, na wengi kati ya wa signateurs walikuwa wamepoteza haki yao ya kuwa wanamemba wa kundi juu ya zambi zao na kujiachisha kazi wenyewe. Watu wote ndani ya mkutano huo waka kubaliana kwa nukta zote zaku badilisha ndani ya statut. Amandement ikafanyika na avenant ika andikwa ; jina la kikundi lika badilika kuwa « MINISTERE CHRETIEN INDEPENDANT
UNITE DANS LA PRIERE » ( yaani huduma ya kikristo ya umoja katika maombi) ; na majina zingine kati ya wa signateurs zikatoshwa, kukaongezeka wengine. Ni kwa mwaka ule njo JOACHIM alijulikana rasmi kama katibu wa huduma (ingawa alianja kazi hii tangu 2OO4). Picha ya katibu mkuu JOACHIM Mikutano ikazidi sana huku na kule, zaidi sana mara mbili kwa kila mwaka (mwezi wa sita ao saba na mwisho wa mwaka). Kwa ajili ya kuombeya uchaguzi wa inji yetu. Kwa mwaka uleule, ali alikwa muimbaji mashuhuri PEACE MULU, na ujumbe katika wimbo wake « OMBEA ADUI YAKO » Mikutano ya aina yote ilifanyika wakati ule kwa ajili ya kuombea inji na province na muji wa Butembo, na watu walitoka huku na kule, yaani pande zote za muji wa Butembo, kwa ajili ya kuja kuombeya inji yao. Picha hizi ni za mikutano mikuu ya maombi pale katika uwanja wa Denis Paluku Muda ule tukapata habari kwamba viongozi wa zehebu la ki anglicane pale kitulu mahali kulikuwa na fanyika maombi ya kila siku ya tano, wame amua kwamba maombi isikuwe na fanyika tena katika zehebu yao. Kwa hiyo programme zote zikahamia pale mu Q.Fatuma n°88, tuka ishi pale kama wapangai, tukilipa pesa ya kupanga sawasawa na bei ya kila mwezi. Lakini baadaye kidogo, mu tarehe 16/09/2OO6, tuka nunua parcelle hiyo ikakuwa ya kikundi, na pakajulikana kama makao makubwa ya huduma ya umoja katika maombi. (Siège social). Na ni pale njo kulihamia kazi zote zinazo elekea kikundi, yaani maombi ya kila siku ya tano na ya yenga, maombi ya makesha kila siku ya tatu na ya posho usiku, maimarisho kila siku ya kwanza na ya tatu, na mikutano yote yakufikiria ao kupangia kazi ya Mungu Wakati ule Mungu akatufungulia milango ya kupata chombo yaani appareil émeteur ya radio. Kwa mwaka uleule 2006 mtumishi kiongazi alianja kutayarisha mahali pakutiya (yaani ku installer) chombo hiki sababu alikuwa hana tena makao kamili kwenye anaweza endelea kuweka chombo kyenyewe. Siku za kambeni za uchaguzi (yaani campagne éléctorales) wa inji yetu zilikaribia, basi mwana bunge mmoja kwa jina la mzee BAYOLI ali alika mtumishi
NDAVANA kuja kufundisha kwa kikao kikuu alicho tayarisha juu ya kambeni pale Vutalurya mu chumba kikuu cha mikutano chake ayati KOWA ; kiisha mkutano ule, mtumishi akaomba huyu mwanabunge amuuzishe pilone moja kati ya pilone nyingi alizokuwa nazo mjini, alizo tumiya kwa mtantao wake wa simu wakati wa Congo geat. Huyu akachagua ile ya pale Base. Ni kwa njia ile watoto wa Mungu wakakusanya michango mbalimbali, na mtumishi baba yetu akaongeza pesa, pilone ile ika nunuliwa, na ujenzi wa studio ukaanja mahali pale kwa michango mbalimbali tu ya watakatifu wote. Lakini kwa mwisho wa mwaka huu wa 2006, tena watumishi wengine waka jitenga wenyewe kwa sababu hawakupata maisha yao ndani ya huduma, maana walifikiri kupata vyote katika kikundi ; kwa ajili ya hiyo wakafikiri kama kiongozi pamoja na katibu walikula pesa za kundi wao peke bilza kukumbuka wenzao; miongoni mwao kuko : KATEMBO KIKWALI, MUDI HARNOLD, WANZA LUENDO, YOSIYA, KAMANDI … Mu mwaka 2007 karibia mwisho, ujenzi na matayarisho yote ilikuwa imefika mwisho, ndipo redio ikaanja kupeperusha vipindi vyake pale kwa mlima wa Base, na ikajulikana kwa jina la « REDIO FARAJA MAOMBI NA INJILI » (RFMI kwa kifupi) (cfr. Doc. Historia fupi ya redio Faraja) Mikutano ikazidi inje ya muji wa Butembo kwa sura ya « RADIO CLUB » (yaani mikutano ya wa sikilizaji wa vipindi), na ni kwa njia ile njo vyumba vya maombi vilizidi kandokando ya muji na vyumba vile vikajulikana kwa jina la « CELLULE DE PRIERE ». Watu walisikiliza neno la Mungu kwa makini, na wengi waliokoka na kuponeshwa mangonjwa yao kwa njiya ya redio, wachawi wa malaya, wizi waliokoka bila hesabu wakati ule Mfano : ZEFANI alikuwa mchawi mkuu katika maeneo ya Vulengya, aliokoka na hirizi zake zikachomwa kwa moto. Picha hii ni ya hirizi za mcawi aliye okoka na zinaenda kuchomwa na moto DORCASSE : piya alikuwa mchawi mkuu na malkia katika maeneo ya Mabambi JOLIE pamoja na MUHINDO, na wengine wengi Mungu ali waokoa kwa njia mbalimbali kutoka katika maisha mabaya walimo tumikia Shetani siku nyingi na wali penda Mungu sana Watu wazima pamoja na wagonjwa, walitokea pande ine za jimbo la Nord-Kivu, kutafuta msahada, na wali saidiwa kwa kweli. Picha hizi ni za wagonjwa walio poneshwa muda ule Mtumishi wa Mungu
NDAVANA naye kwa namna ya kipekee alikuwa na ziara zake za kipekee, akitembeleya watoto wake wa imani, pamoja na kushiriki huko kwa mikutano ya maombi pamoja na waombaji wa kimataifa. Picha hii ni ya mtumishi pamoja na watoto wake wa imani pa Nairobi/Kenya Mwaka 2008 ulikuwa mwaka ya mikutano huku na huku, pamoja na kutazama makubwa ya Bwana. Kwa mwisho wa mwaka ule, watumishi BARAKA pamoja na CHRISTIEN NZUNZUMUNA PETROS, walikuja wakafanya seminaire pale ku permanence, na ni wao njo walifundisha watoto wa Mungu kuhusu sadaka mbalimbali za kumtolea Mungu, na zaidi sana walifungua akili za watoto wa Mungu kuhusu sadaka za moja ya kumi. Tangu mwanzo wa huduma mpaka siku zile hakukufundishiwa somo yoyote kuhusu sadaka. Ni kuanjia siku zile njo tunaweza sema kwamba watoto wa Mungu walianja kujitoa kwa kazi ya Mungu ao kwa watumishi wa Mungu. Watumishi wale walieleza piya namna gani Mungu ana watumia ki miujiza huku na kule, na ginsi Mungu anavyo watuma hata kwa ma raisi wainji. (cfr. temoignage ya BARAKA) Mwaka uleule watumishi wengine kwa jina la USHINDI pamoja na BATANGI walitujia, huyu Batangi alitufundisha kuhusu IMANI, baadaye tena JOSHUA MUTUA MWANZA kutoka Nairobi alitujia na somo « NAMNA GANI KUWA BILLIONAIR KATIKA MWILI WA KRISTO », baadaye tena USHINDI akarudi yeye na jamaa yake na wakati ule alionekana kama mtapeli. Mwaka 2009 : mikutano ikaendelea sana, wageni walikuja toka miji mbalimbali. Mu tarehe 29 mpaka 31/01/2OO9, kulikuwa seminaire kunako permanence ya huduma (mu cell. Fatuma 88) ; watumishi kutoka ku ma cellules de priere walikuja ili kueleweshwa tena lengo ya huduma vizuri; na ni kiisha huo mkutano kulifanyika matembezi maalum kwa ma cellules zote za maombi katika muji wa Butembo, kusudi nao waeleweshwe vizuri lengo ya huduma, na matembezi hayo yalielekea zaidi sana : Ecole des disciples, Jeunnesse Kitulu, Jeunnesse Katwa, Cellule ya Malera … ; na waliotembea kule ni : MWIRAWIVU, MALEKANI, GREGOIRE na JOACHIM kama katibu. Mu mwaka 2009, mtumishi ZACHARIA alikuja kutoka Tanzania na alifundisha somo ya uhuru kutoka katika woga na mashaka, na ni kwanjia ya huyu njo Mungu alisema kwamba tangu muda ule kundi haitaitwa tena chumba cha maombi bani ni kanisa, na ma cellules de priere zote zitaitwa ma kanisa. Alitabiri tena mambo mengine mengi. (cf. doc. UHURU TOKA KATIKA MASHAKA) Kwa hiyo tangu siku zile kundi ikaanja kuitwa « KANISA » ; lakini jina kanisa halikutawala. Mtumishi CHRISTIEN PETROS NZUNZUMUNA akarudi tena na « UJUMBE WA SIKU ZA MWISHO ». Watumishi KIKURU na O-O wakakuja tena na kuendelea kuimarisha watoto wa Mungu. Mu mwaka 2010, mtumishi Christien akakuja tena nakufanya ma seminaries kuma kanisa (yaani ma cellules), akafundisha kuhusu kalendari ya roma (calendrier babilonien) alifundisha Butembo, Beni, Oicha , …. Kufikia mwaka 2011, kundi ilikuwa imegeuka na sura ya kanisa halisi, na watoto wa Mungu walikuwa wamepata sura yawa Kristo sababu walikuwa wamefundishwa mafundisho yenye ku faa kwa kanisa, sawa: KUELEWA MEZA YA BWANA, MAOMBI, UBATIZO UNAO FAA, UMOJA, … Kwa mwanzoya mwaka 2012, mtumishi akaanja tayarisha mkutano mkuu ya watoto wa Mungu wote katika huduma nzima. Na mkutano huo ukafanyika pa Kalunguta tangu tarehe …….mpaka tarehe …/…/2012. Katika mkutano huo watu wote walibarikiwa sana naku funguliwa toka vifungo mbalimbali, na ni pale njo Mungu alijifunua kwa mtumishi wake kwamba watu wabatiziwe,na tujulishe kwamba katika mkutano ule mtumishi Kikiru toka Bukavu alialikwa kama mgeni Tarehe ………. Mtumishi wa Mungu akasikia sauti ya Mungu kwamba watu wa shuhudie katika maji imani yao kwa Yesu Kristo kwa njia ya maji mengi. Ilikuwa tarehe ……/……./………., wakati Mtumishi kiongozi wa huduma alitelemushia watumishi wengine karibu na maji ili awatayarishe kwa jambo lakubatizwa nakubatiza watoto wa Mungu, MWIRZA WA YESU alikuwa wa kwanza kuonesha sura na roho yakupinga, akasema: yaani katika huduma yote hakuna mutu anaye stahili kubatizwa na hata anayeweza kubatiza mwengine.Ingawaje ile hali yakupinga, wengine watoto wa Mungu wali nyenyekeya, waka kubali ujumbe huu nakubatizwa. Aliyekuwa wa kwanza kubatizwa katika huduma na aliyefungulia wengine nzia ni Mtumishi Joachim (wakati ule katibu mkuu), kiisha wengine wakamufuata . Baadaye wengine watumishi wa huduma tu wakaendelesha kazi hiyo. Siku ileile, JOSUE , KAMBETU, TIMOTE, TITO, THOMAS, BARNABAS hawakuelewa maana ya kazi hii, wakafanya kikao cha uficho ile siku usiku waka katala mpango wa ubatizo na wakatafuta kushawishi watu wengine wakatae kubatizwa. Kwa ajili ya hao kulipatikana kundi ya watu Fulani wali onesha sura yakukataa mafunuo yaliyo tokeya katika mkutano. Na hata wengine wakaamua kuacha mkutano na kurudi kwao. Mawazo hayo yakupinga yalionekana wazi ndani ya: Mwirawa Yesu, Baba na Mama Melta, Mama Tresor, Janvier na wengine… Mkutano huo ulipokua umekwisha , watu wamerudi kwa makanisa yao; mafundisho ya maimarisho yakaanza kupengema kunako radio na hata ku permanence. Wasikilizaji wakaanza kuuliza kama kwa nini mafundisho ya watumishi fulanifulani yamebadilika? Mtumishi wa kipindi cha kunako radio yaani mzee JEAN BAPTISTE MUHESI, akajiachisha kipindi chake yeye mwenyewe, mu tarehe:………/……../………., akaandika baruha kwamba haone maana yakuendelea katika huduma kwani hawafuate tena lengo ya kwanza ya huduma ya zamani. Mtumishi kiongozi
NDAVANA SHAYIPUMA akapata ufunuo wakugawa watu kwa vikundi viwili wakati wa maimarisho, kukawa kikundi cha: 1. Wa Baba kila siku ya ine ya juma 2. Wa Mama kila siku ya pili ya juma 3. Vijana kila siku ya saba ya juma Hii ilikua ni kwasababa aliona watu walikuwa wameanza shawishiwa kupitia mafundisho yenye chachu mbaya. Haya mafunuo nayo yakavitanishwa sana na siku zile hali yakupinga ikaanza onekana waziwazi ndani ya MWIRA WA YESU, akasema kwa mwamba mutu hawezi kuzaa watoto kiisha anashindwa kuwa imarisha, mwengine njo ana muimarishia wao. Mtumishi akapata tena mafunuo kwamba KAMBETU njo asimamie maimarisho ya wa mama na MWIRAWIVU abaki na ya wababa. Akumbe Kambetu naye alikuwa ame shawishiwa tayari, akaonesha hali yakukataa. Ile hewa iliendelea ndani ya watumishi wamoja wamoja na watoto wa Mungu; na ikasababisha hali ya kazarau mpaka wamoja hawakutii tena sauti ya kiongozi wa kundi. Ilikuwa tarehe …/…/… watumishi wamoja wa upande wa Kaina wakaungana na kuandika baruha kwamba MWIRA WA YESU pamoja na
NDAVANA watafute siku yakuwajibia kuhusu hali walio onesha Kalunguta. Wakati ule kiongozi yaani mze
NDAVANA akaomba rapport ya consomation ya carburant kusudi aitangaze katika mkutano ya watoto wa Mungu. Katibu alipotoa hii rapport, kwamba inaenea dola karibu mia tano (500) kwa kila mwezi (yaani consomation ya radio pamoja na ya ibada mbalimbali kunako permanence); JOSUE aka tangaza bila adabu kwamba rapport hii ilikuwa ya uongo, wakaungana tena pamoja sawa ginsi waliungana Kalunguta, waka anjisha vikao vya kusengenya watumishi wa Mungu, zaidi kiongozi pamoja na katibu. Hizi ni picha za JOSUE pamoja na JEANVIER walio chocheya sana uasi katika kundi Watu wengi waka vamiwa na roho hii mbaya yakupinga uongozi kwa maficho. Hali hii ya JOSUE na ile ya MWIRA WA YESU pale Kalunguta ika zaa hewa mbaya katikati ya watoto wa Mungu. Wakati ule mtumishi
NDAVANA akatangaza kwa redio na katika mikutano yote kwamba kila mutu mwenye ana mu jua na kosa yoyote akuje amuharifu; ao kila mutu mwenye alishaka kosea, akuje waongeye kusudi wasameheane. Hakukuonekana hata mutu mmoja aliye mustaki isipokuwa watu fulanifulani tu waliokuwa na mambo wasio elewa bado vizuri. Baadaye mtumishi akaacha kushiriki kwa vipindi vyake kunako redio, kusudi asibebe vasikilizaji ndani ya confusion, maana mafundisho yaw engine watumishi kwa redio na hata ku permanence ilikuwa na ilisha pengema. Tangu siku zile mtumishi akajiepusha mchafu yoyote akaenda jificha chini ya muti (chini ya muti ni kusema mulima mkuu wa maombi) Baada ya hiyo kukaalikwa mkutano mkuu ya watumishi wote pa Ndoluma, ndani ya mkutano ule kulizungumziwa nukta kubwakubwa hizi: Kuzungumzia hewa hii ya upingaji ambayo imevamia kundi nzima Kufikiria finance ya huduma. Mkutano huo hauku fua dafu (réussir) kwa sababu akumbe watumishi wengi walikuwa tayari mateka ya hiyo roho mbaya ya kupinga, KAMBETU, THOMAS, GIDEON, JEAN PIERRE na RUBENI walionesha waziwazi hali ya kupinga mipango mipya iliyo funuliwa, wakakataa mawazo yote kuhusu nukta zile mbili, na walionesha wazi niya yao iliyo watawala “kuzimika kwa huduma”. Mwezi wa sita ya mwaka wa 2012, kukasikika tena katika kundi habari za uashera kati ya katibu Joachim na msichana aitwaye Ryth (mdogo wa muke wake katibu). Habari hizi zilikuwa mbaya zaidi, na zilipokelewa kwa furaha sana na watu wale waliokusudia kuanguka kwa kundi, wakapeleka zile habari pamoja na habari zao zakupinga kazi inayo endelea katika huduma. Watu wengi waliposikiya habari hizi walishangaa kabisa, na wamoja walionesha sura yakuvunjika moyo,… Ilikuwa munamo tarehe 09/12/2O12, pa saha kumi za jioni, huyu msichana akakanusha katika mkutano ya watu wengi ku permanence kwamba ilikuwa uongo mtupu, kwa hiyo watu wamoja wakapima kutulia, na ile kundi ya walio jifanya maadui wa kazi ya Mungu wakaachana kwanza na ile habari ya uasherati, waka beba habari zingine kwamba uongozi wa kundi yaani mtumishi
NDAVANA amepindisha lengo ya kundi, kwani amebatiza katika huduma na ameombea wanaofunga ndoa, piya amepora pesa za watu kupitiya caisse ya umoja na projets mbalimbali alizo tangazia watoto wa Mungu, kama vile projet ya ufugo ya pale Muhangi, tena walisema amegeuza kundi kuwa kanisa, wakaanza kuchafua jina la mtumishi kwakupeleka zile habari kati ya watu kwa siri na kushawishi watu wengi sana. Ingawa hata ni Yule MWIRAWIVU na wengine wapingaji ndio walikuwa naombeya watu wanao funga arusi. Picha hii niya MWIRAWIVU aki ombeya ndoa ya mama JUSTINNEpamoja naMUMBERE Na ndugu yake JOSUE ndiye aliyeombeya arusi ya KAVE aliyefanya zamani kazi ya protocol pamoja na dada JEANNINE, ..... Tarehe 24/05/2O13 kukaalikwa mkutano mkuu ya watumishi yaani Assemble Générale pale Mangina, kulikuwa vile programme ya kuombea arusi ya mtumishi BARNABAS, pamoja na kufikiria hewa hii ya vita katika huduma. Baada yakuone hewa mbaya ambayo watumishi JOSUE pamoja na MWIRAWA YESU walikuwa wameingiza katika kundi wakiungana na watu walio nyumba, kukaandikia baruha za matunzo (yaani garage spirituel) kwa wale watumishi.(maana walionekana kuwa wao ndio chanjo cha fujo katika kundi, wao njo walitiya wengine kichwa Nguvu ya kuto kunyenyekeya uongozi wa huduma). (cfr. Baruha za matunzo…) Na hizi baruha zili andikwa kufuatana na makosa yao yakutokutii na kutokuheshimu kiongozi wa huduma. Lakini walipopata zile baruha wakaita waamini wao wote, wakaandika dénociation yaani baruha yao ya tarehe 29/05/2013; Kwamba serekali iamue kati yao na mtumishi, naku muondoa kwa uongozi wa huduma, maana ana ongoza vibaya. Maramoja mu tarehe 05/08/2013, wakaandika baruha ingine ya mipangilio yao mipya ya kundi (gouvernement de transition), waka teua MUSAFIRI BARAKA kwamba ndiye kiongozi wao mupya. Kwa ajili ya ile kiburi yao na kushawishi watoto wa Mungu. Mu tarehe 06/10/2013, waliokuwa watumishi JOSUE pamoja na MWIRAWIVU wakapewa baruha zao za matengo, na ilikuwa ni kwa ajili ya hali yao mbaya waliyo onesha, yakutokuvunjika mbele ya maonyo ya watumishi wa Mungu akumbe walikuwa mbwa za pori. Kwa kweli jambo hili lilileta tena woga na wasiwasi katika mioyo ya watoto wa Mungu, na katika kundi nzima na hata muji wote kwa jumla. Vurugu hii iliendelea kabisa, wakafanya mioyo kuwa migumu, hawakukubali kuvunjika, wakashawishi wengine watoto wa Mungu wengi sana, na ku wachinja kiroho mpaka hata kwenye makanisa ya pembeni. Mfano : katika kanisa la Beni kulikuwa kijana aliyeitwa mtumishi Gideon huyu naye alijiunga na wale wasio tii uongozi, na alichinja sehemu ya watoto wa Mungu pale Beni ; Lubero vilevile kulikuwa Timotheo aliyeitwa Anselme, alichinja watoto wa Mungu pa Lubero. Hali hii ilileta vurugu katika makanisa yote ya huduma, na iliendelea mpaka mwaka 2015. Jambo hili likasumbua watu kabisa, wengi wakajiunga kwa hiyo kundi ya wapingai, huduma ika yumba sana, lakini Bwana akaendelea kushika walio wake. Ikafika mpaka wakaandika baruha yao iliyokufunga mazabahu ya Mungu (yaani Redio FARAJA pamoja na permanence) vilivyokuwa mjini Butembo, la sivyo (walisema kwamba) wanaenda mwanga damu kiyolela katika muji wa Butembo. Kwa ajili ya baruha yao hii (…………………….), na kwa ruhusa yao, vyombo vya kazi ya Mungu vikafungwa na meya wa muji wa Butembo katika baruha yake ya tarehe …/…/… Watoto wa Mungu pa Butembo, wakabaki katika hali ya ukimbizi, wakaanja kufikishia programme zao pale mlimani kwa DENIS, karibu myezi tisa, kazi zote za watoto wa Mungu pale Butembo, zili hamia pale kwa Denis. Lakini pamoja na ile, ni Kahindo pamoja na kundi yake ya protocole ndio waliendelea chunga permanence, wakati piya Josue pamoja na kundi yake walichunga Redio. Picha hizi niza watoto wa Mungu wakisomea kwa DENIS PALUKU Watoto wa Mungu wali vumilia sana hali ya ukimbizi pale kwa Denis Paluku. Na pale Mungu kufuatana na uvumilivu wao. Walivumilia jua, mvula, matukano, kuchekelewa, …. Lakini pamoja na ile yote walitiwa moyo kabisa wakijua ginsi Mungu ni kwa upande wao. Wakati ule Mungu aka jichaguliya kati ya watoto wake kundi ya watumishi waliojulkana kama WATUMISHI WA NYIMBO ZA TENZI Watumishi hao walikuwa wakipokeya mafunuo ya nyimbo za rohoni, waka zitiya kwa ma CD na ma CM kwa njiya yaku zitengeneza katika studio. Ingawa kazi hii ili omba garama kubwa, lakini Mungu asifiwe kwa sababu kwa njiya hii tulipata nyimbo zetu katika huduma ao nyimbo za huduma Lacement ya nyimbo hizi ilifanyika Butembo mu tarehe……/……/…. Na ni kwa njiya ile watu wote wakaruhusiwa kuimba nyimbo zile Hizi nyimbo zilijulikana na watoto wa Mungu wote katika makanisa yote ya huduma. Watoto hao yaani watumishi wa nyimbo za tenzi waliimarishwa na Mungu chini ya muti, yaani katika miguu ya askofu
Ndavana kiongozi wa huduma, na muji ule ambao tuliita chini ya muti ao tena muji wa makimbilio ulipatikzana MAKEDONIYA ambako zamani kuliitwa MAKILIDOU, ni mu province Orientele/DRC wakati ule Wakati fulanifulani Askofu alikuwa nafika Butembo kwakuja kutiya watoto wa Mungu yaani kanisa moyo kama vile pa Butembo Wakati ule kanisa la Butembo lilikuwa likiongozwa na watoto wa Mungu walio ungana kwaku tiya moyo watoto wa Mungu, nao walikuwa: JOEL KAPAKASI, KALENDI PAMUKI, FAUSTIN, MUYISA KINGELEBU, na wengine Munamo tarehe …/…, watoto wa Mungu waka anja kusomea pale mu av.Bamathe/Butembo, (kulikuwa chantier ya papa KIWEDE ao famille PERUZI). Ni kwamba muda yao yakusomea kwa Denis ilikuwa imefika mwisho. Wakati ule wakaita pale kwenye walihamiya tena kwa jina la (maternite), wakakuwa na lipa louage ya mahali pale mpaka siku Mungu atakapo wakumbuka tena kuwapa mahali pengine. Lakini chaku shangaza MUYISA KINGELEBU ambaye alijulikana kuwa mume wa dada NAOMIE huyu aliye itwa zamani katika dini ya wazazi wake CHANTALE na sasa alipookoka akabadilisha jina na akafanya kazi ya protocol katika huduma, zaidi kunako permanence; hawa wakafanya nao tena mpango yaku jitenga kwa watoto wa Mungu. Shabaha yao ilikuwa ili waanje kundi yao; hao waka shawishi CHARLINE, REHEMA, na papa DALOS lakini hawakuweza watu wengi zaidi ya wale, wakaenda nao wakaanja kundi yao Ingawa ile watakatifu wa Mungu waliendeleya kutiwa moyo na kukomaa na kanisa na hata huduma yote ilikomaa sana siku kwa siku Picha hizi ni za ibada fulani fulani wakati ule Hata ni wakati ule kanisa la Butembo walifikiya kiwango chaku nunua parcelle nzuri ya samani sana pale katika Q. KAMBALI Vyombo vya Mungu vilipo endelea kufungwa muda wa siku nyingi (karibu mwaka mzima na zaidi), ilipofika nyakati fulani, mtumishi wa Mungu aliendelea kuendeya wakuu viongozi wa jimbo, kwa ruhusa ya Assemblee Générale, kwaku waonesha mwangaza ulio katika dosari hii. Ilifika kiwango kwamba hata hata kama wakuu wajimbo waliandika vibaruha kwamba vyombo vya watoto wa Mungu vifunguliwe, meya wa muji wa Butembo haku kubali kuvifungua (hatujui kwa nini) ; wakati ule aliyekuwa meya wa muji alikuwa ni SIKULI UVASAKA MAKALA, aliyejulikana kwa jina la KAPIPI. Siku zilipo zidi, huyu meya pamoja na lile kundi la wasiopenda enjili ihubiriwe, kwa manyanga isiyo julikana wakajifanyia mabaruha yakufungua vyombo vya kazi ya Mungu, mu tarehe …/…/…, wakafika kunako permanence na saha tisa za jioni pamoja na ma askari polisi wenye silaha, wakafungula permanence kwa makazo (walitumia nondo yaani marteau), papo hapo wale ma polis wakaelekeya kunako redio, nayo waka ifungua , na ni tangu siku ile waka riti vyombo vya Mungu kwa makazo kabisa, wakaanja kupeperusha vipindi vyao kunako redio FARAJA, na wakaanja kufanya mikutano yao kunako permanence. Munamo tarehe 09-11/1/2015 mtumishi akaita watumishi, ma pastas wote wa makanisa yote ya huduma, ni pale njo wali kamata mpango yakuandika kilio na malalamiko ya watoto wa Mungu, na wakaamua kwamba baada ya baruha hii jambo hili lina achiwa Mungu (yaani Mungu njo afatilie jambo hili kabisa). Tangu siku hii, tuta endelea na kazi ya Mungu kama kawaida (cfr. Baruha ya kiliyo na malalamiko ya watoto wa Mungu) Ni baada ya ile yote, kiisha siku nyingi kabisa hali ikibaki tu vilevile, njo watoto wa Mungu wakaamua kusamehe yote yaliyopita, pamoja na wote waliofanya fujo katika kundi, na kuanja kila kitu upya kabisa. Kuliandaliwa mkutano wa enjili katika muji wa kilo (ni katika maeneo ya Kalunguta) mun,amo tarehe 09 mpaka 11/04/2O15. Mkutano huo ulikuwa faraja kwa watoto wa Miungu katika huduma yote, ingawa ilikuwa kama mzogo mzito, lakini watu wengi waliokoka kabisa, zaidi ya wa makumi mbili (20) ; na ilikuwa kanisa la kilo lilianja siku ile pale KILO. Baada ya hiyo mkutano mtumishi wa Mungu alipopata habari za ushindi za mkutano huo, akaelekea huko makedonia kuenda kushukuru Mungu kwa faraja hii ambayo Bwana ana tufariji nayo. Mu tarehe 31 /05/2015 kulifanyika maombi maalum katika muji ya Beni kutokana na ukosefu wa salama iliyo ji tokeza katika territoire ya Beni, na tangu siku ile salama ili onekana kabisa. Ndio maana kuli andaliwa tena mkutano mkuu wa shukrani kwa Mungu kwa ajili ya utendaji wake mu territoire ya Beni. Mkutano huu uliitwa (operation changer nationalite) na ulikuwa na mambo karibu ine yaku fanya : Kuhubiri muji wa Beni Kuombea watumihsi wa Mungu toka makanisa yote Kutangazia watu kuhusu mchango ya ununuzi wa permanence ya Beni Lancement ya nyimbo za tenzi Baada ya hiyo maamuzi njo watoto wa Mungu wakaendeleya na kazi ya Mungu bila tena kudjali mzozo yakutokeya huku na kule. Ndipo waka andaa tangu tarehe 27 mpaka tarehe 30/08/2015 mkutano mkuu iliyo karibisha watoto wa Mungu wote pale Beni (KAMBING) katika somo kubwa OPPERATION CHANGER NATIONNALITE, Wakafanya piya mikutano yakuombeya hali ya inji zaidi ni mu wakati territoire ya Beni ilisumbuliwa na watu walio chinja wakaaji kama nyama, mikutano ikafanyika mingi yakuombeya territoire hii Kukafanyika tena mkutano ya wafanya biashara wote katika huduma pa Beni, mu tarehe …./…./2015 Wakati ule kuka karibishwa mama DJEFA pamoja naye PADON kutoka muji wa Nairobi, ni huyu mama ndiye aliye leta ujumbe toka Mungu kwamba muda ya Askofu
NDAVANA kukaa porini umekwisha, lazima arudi nyumbani kulinda kondoo ao watoto wa Mungu kwani wame garagara siku mingi kama kondoo wasiokuwa na mchungaji Baada ya hiyo kulifanyika tena mikutano ingine mingi sawa vile tena mu tarehe 07-10/O4/2O16 wakakusanyika tena mapasta wote wa huduma pale KAMBING/beni wakipewa muelekeyo ya kazi Papo hapo tangu tarehe 30/O5/2016 kipindi kikaanjishwa kunako redio VUOS ya Beni; kipindi USHIRIKA WA WATEULE, kili peperushwa na Askofu
NDAVANA SYAIPUMA na akishindikizwa na watoto wake wa imani kama vile RACHELLE, JOACHIM,… Na somo zile za kipindi zilitumiwa katika makanisa mengine ya huduma kusudi watu wote wafuate yale mafundisho mazuri yenye kuandaa wateule yaani watakatifu kunyakuliwa Wkati ule mtumishi aliendaleya kutiya watoto wa Mungu moyo naku wapanga kwa mustari ya usawa kufuatana na hali ya ukosefu wa salama katika maeneyo yote ya territoire ya Beni. Mu tarehe 29/05/2016 kuli tangaziwa katika huduma yote somo yakuleteya watoto wa Mungu FURAHA (wafilipi 4:4-9) na siku ile askofu
Ndavana alihudumiya kanisa la Butembo, pamoja na siku ya kwanza ya juma ifuatayo (06/06/2016) (MWISHO YA PREMIERE PHASE
(cad depuis 2000 jusqu’à début 2017) Tangu myaka 1998, inji ya Congo ilikuwa na matatizo mengi sana. Salama ya wakaaji haikuwa hata kidogo, watu waliishi katika hali yaku jiogopa, kuporwa mali zao, wamama kubakwa ovyo ovyo, wizi, unyanganyi huku na kule. Hii ni picha ya muji wa Butembo wakati wa mlio wa masasi Wakati ule kulikuwa mtumishi wa Mungu katika muji wa Butembo ambaye alipata kweki ufunuo wa enjili iliyo hai kutoka kwa Mungu, aliitwa mzee NDALIKO KALMELA. Mzee huyu alihubiri enjili kwa kweli, na alikusanya watu wengi walio okoka, kwenye makao yake pale iliyopatikana siku zile ku barabara kuu ya muji wa Butembo. Ilikuwa (opération sauvetage), ni pale njo watu waliokuwa wameonja utamu wa habari njema walikuwa nakutana kila mara kwaku jiimarisha, kwani hakukuwa enjili ya kweli kwenye madini siku zile.Sasa mtumishi yule alipo endelea sana katika mafundisho yenye kusema kwamba mutu akiokoka hawezi tena kutenda zambi, waamini wengi wakafurahia yale mafundisho kabisa. Mtumishi mmoja kwa jina la
NDAVANA SYAIPUMA naye akaambatana na mafundisho yale maana alikuwa ameokoka siku zile, na pale watoto wa Mungu wengi waliimarishwa kupitia mafundisho ya mzee huyu NDALIKO. Lakini dini ya ki protestanti walipiganisha sana yale mafundisho, watu waka sambazwa, waka baki katika ukiwa kiroho. Kiisha mtumishi
NDAVANA na wengine wamoja wa dini ile ya ki protestanti walio okoka, wakafanya vikao na maombi, kuona kama watu watahubiriwa tena namna gani, na kwa njia gani maana watu ya dini walikuwa wamepiga marufuko mtumishi NDALIKO aliyekuwa msahada siku ziule kwa watoto wa Mungu. Ni kwa njia ile vikao na maombi makubwa ya wale walio sambazwa wakiungana na mtumishi
NDAVANA, vikazaa mawazo yaku nunua redio, ili watu wahubiriwe kwa njia ile. Redio ile ika nunuliwa, n ikatumika chini ya dini ya CBCA (redio ya enjili ya Butembo). Siku zile, mtumishi huyu
NDAVANA akapewa pale kwa redio kipindi cha dakika tano tu « ombeni pasipo kuchoka » . Watu walifata naku furahia kipindi kile maana kilikuwa jibu na dawa kwa kui iliyo kuwa ime jiumba katika mioyo ya watu wa Mungu, waliosambazwa na kukosa enjili ya kweli. Watu walipo sikia enjili imehubiriwa tena kwa redio hii naye mtumishi
NDAVANA, waka pumzika sana na kwa hiyo kukawa mikutano ya redio club, katika ma zehebu ya wa protestant (cbca Kimemi) na kwa njia ile walio amini katika mikutano hiyo, waka saidia pamoja na dini ya ki protestanti waka saidia kwa kulipa pesa zilizo nunua redio hii. Ni kwa ile kipindi njo kulipatikana mutu mmoja mwana siasa kwa jina PALUKU KAMAVU ERIC, huyu alisikia neno la Mungu. Baadaye kidogo viongozi wa dini ya kiprotestanti tu wakapigana na mafindisho yale ya mtumishi
NDAVANA kunako redio, waka mfukuza kwa redio kwasababu alisema kwamba watu wa kemeye mapepo, ingawa katika dini yao wao walijua ma pepo hazikuwake. Kwa hiyo wakafanya hila kwamba wanamufanya kuwa Evangeliste wa poste, akumbe ilikuwa njiya yaku mukimbiza kwa redio. Alipokimbizwa tena watu wakabaki ndani ya ukiwa mkubwa sana ; mtumishi huyu naye akabaki nyumbani kwake, akiomba nakusoma biblia. Mwaka 2OOO, PALUKU KAMAVU Eric aka teuliwa kuwa meya wa muji wa Butembo . Alipoona ginsi muji hauna amani na hata inji yote, akaona ya muhimu atafute mutu wa Mungu, pale akakumbuka kutafuta mtumishi aliye musikia kwa redio, yaani
NDAVANA, Wakaongeya juu ya hali ya ukosefu wa salama katika muji na inji, piya wakaongeya juu ya namna ya kuongoza muji wa Butembo. Ni pale njo kulitoka mpango kwamba meya wa muji aite watu kwa mkutano mkuu wa maombi, na mtumishi
NDAVANA akafundisha (hii ilikuwa sasa munamo mwaka wa 2OO1) Ukosefu wa salama ulipozidi kabisa, masasi kila asubui, yenye kusababishwa na vikundi mbalimbali vya wa maimai walio tokea Vurondo, Kahamba, Kivira, Kitovo, Luotu, Lukanga, Muhola, kasitu… Kwa jumla, kosefu wa salama huu ulitokana na Wa maimai walio zunguka muji wa Butembo pande zote, na hata mahali kote katika territoire mzima ya Lubero na Beni Upande mwingine, wageni waliokimbilia katika inji yetu Kongo kutoka upande wa Rwanda wakati wa Génocide yaani mauwaji makubwa yaliyo fanyika huko kwao Rwanda munamo mwaka 1994, walio itwa wa FDLR. Wali kosesha salama katika materritoires za Rutchuru, Walikale, Masisi na zaidi sana, katika territoire ya Lubero wali sumbua sana katika maeneo ya Kasuo, Kagheri, Ndoluma, Alimbongo… Baada ya mazungumuzo yao wawili, wakapatana kusaidiana kutafuta salama ya muji na inji nzima, kwa njia yakukusanya wakaaji wote wa muji na kandokando ya muji, pamoja na kila mutu anayeona hatari ya muji wa Butembo na kandokando ili waombe Mungu kwa ajili ya muji wao. (ITimoteo 2 :1-5) Wakati uleule, mtumishi wa Mungu
NDAVANA SYAIPUMA akaomba tena kipindi cha kuhubiri enjili na kuomba kwa redio moja ya muji iliyojulikana kwa jina la « RADIO GRABEN ». Redio hii ilipeperusha vipindi vyake kutoka kwa mlima wa NGESE. Kipindi hiki cha mtumishi wa Mungu kiliitwa tena: « OMBENI PASIPO KUCHOKA », na kilikuwa na peperushwa kila siku asubui mapema (5h00 za asubui) na kili saidia nakufariji watu wengi sana katika muji na kandokando kote ambako redio hii ilisikika. Kila siku asubui mapema alilamukia kwa kipindi hiki kutoka nyumbani kwake Masuli pa Katwa, na kuna wakati mtumishi huyu alikuwa na amuka asubui hata wakati wa muripuko ya masasi, alienda na bidii, bila kuogopa, na hii ilikuwa faraja kwa wasikilizaji wote.
Unite dans la priere ilianja munamo mwaka 2001 kama Association ao kikundi chaku kusanya watu kutoka zehebu mbalimbali ili waombeye inji na muji wao kwa Mungu kufuatana na hali waliyo ishi siku zile. Basi ilikuwa munamo tarehe …/…/2001, tangu saha ……… mpaka saha ………. Pale katika uwanja wa DENIS PALUKU, mkutano wa kwanza wa kuombea inji ulifanyika, na Mungu alijifunua kwamba yuko tayari kusamehe inji naku iponya ikiwa watu wata nyenyekea kuomba na kugeuka kwa njia zao mbaya (2mambo ya siku 7:14-15) Maombi haya yalizaa matunda mazuri sana tena mengi kabisa, na ni kwa ajili ya hiyo meya wa muji mzee PALUKU KAMAVU ERIC akatiya mtumishi wa Mungu nguvu na moyo, naku muomba aendeleye na mpango huo wa kuombea muji na inji nzima. Kwa hiyo mtumishi aka anja kupangilia mikutano yakukusanya waombaji kutoka vikundi mbalimbali na mazehebu mbalimbali, na watumishi wengine wakaungana wote nakuunga jambo hili mkono mpaka likaendelea. Basi, meya wa muji mzee ERIC KAMAVU alitangaza kwamba jambo hili litafanyika kila mara, na maombi yaendeleye bila kukoma, kusudi tupate amani katika muji wetu; na pale tena, meya wa muji akazidi kutiya mtumishi
NDAVANA moyo; kwani sura hii ilikuwa mupya kabisa katika eneo nzima, watu wa dini zote kuombeya pamoja. Mikutano ikafanyika kwa umoja na ushirika mjini Butembo katika ma hekalu ya mazehebu fulanifulani sawa vile: - CBCA Kimemi - CBCE Vungi - ANGLICANE Kiltulu Wakati ule watu wengi walikuwa na tokeya miji ya kandokando kuja kushiriki kwa kazi hii; miongoni mwao tunaweza kutaja kijana mmoja kwa jina la KAMBALE SAMMY aliyekuwa mkaaji wa muji wa Kalunguta, kijana huyu alikuwa sujaa sana, nan i huyu aliyekuwa mmoja wa wa missionaires wa kwanza katika huduma hii. Ni huyu ndiye alianjisha kazi ya maombi pa Kalunguta, mpaka kanisa likazalika pale kiasi kwamba wengi wa watoto wa Mungu pale Kalunguta leo, ni watoto wake wa imani Mikutano iliendelea sana hazarani (yaani uwanjani mwa DENIS PALUKU) na matokeo ikaonekana wazi, Mfano : Munamo mwaka 2OO3, wahuni wa maimai walianja kutoka katika mapori nakuanja kurudi wengine kwenye ma jamaa zao na wengine kuingiya jeshini. Mmoja wa watu waliokuwa wakiombea salama ya inji na akaona matunda ni mtumishi wa Mungu papa TSONGO JULES aliyekuwa katika muji wa Muhangi ; mtoto wake kwa jina la ARKIPO alitoka porini nakurudi kwa jamaa yake. Walipoona matokeo haya mazuri, watumishi wakaanja kufikiria jambo hili; ndio maana vikao vya watumishi pamja na maombi mengine vikazidi na vilifanyika katika makao ya watu binafsi, sawa : Makao ya papa ILONGO pale mu avenue Beni Makao ya papa KASUNZURA mu Q. Vungi Zaidi maombi ya kila juma yalifanyika kila siku ya tano munamo hekalu la zehebu ya Anglican pale Kitulu, na wakati ule permanence na mipango ingine ya uongozi vikaendelea katika makao ya Kasunzura pa Vungi. Wakati ule watu wengi kutoka huku na kule wakajiunga, watumishi kutoka mahali kote kama vile mama FEZA SHAMAMBA pamoja na mume wake, wali kuja omba pamoja nasi kutokea Kinshasa ; mtumishi mwengine BRUTON BUBERWA naye alikuja kuomba nasi kutoka Tanzania na wageni wale wali endelea ku imarisha waamini kwa njia ya neno la Mungu. Permanence na kazi za uongozi vikahamia ku Cellule Fatuma n° 88, ambako ilikuwa ni nyumba ya papa MUHASA (ndugu yake na papa ALPHONCE, ambaye huyu naye alijiunga kwa kazi hii na alikuwa mmoja wa watumishi walio fanya kazi bega kwa bega na mtumishi
NDAVANA). Kwa mwaka ule tu, kukafanyika kikao kikuu cha watumishi wote walio onekana kama wameelewa lengo ya kazi hii, chini ya uongozi wake mtumishi
NDAVANA, kikao hiki kilijulikana kama Assemble général ya kwanza tangu kazi hii ilipoanja. Wakati ule mtumishi aliye saidia kwa mambo ya uandishi alikuwa ni KASEREKA MUHAYIRWA JOSEPH (aliye julikana kwa jina la DJEPH). Watumishi wengi waka tembea na mzee
NDAVANA bega kwa bega miongoni mwao kuna: MUHINDO NGENDO PALUKU MWIRAWIVU KIKOMBI SYRILE KASEREKA MALEKANI…. Muda ule wakakubaliana kusimamisha kundi hii kama ASSOCIATION, (yaani ushirika wa watu wanao tafuta uponyaji wa muji na inji yao kwa njia ya maombi), na association hii ikaitwa ASSOCIATION CHRETIENNE DANS L’UNITE DE PRIERE (ACUP kwa kifupi). Statut ikaandikwa wakati ule mu tarehe 16/06/2003,baada yaku kusanya mawazo mbalimbali ndani ya ensemble generale iliyo fanyika siku ile kama vile ensemble ya kwanza kabisa ya kikundi hiki. Lengo ya kundi ikawekwa juu ya kartasi kusudi kila mutu anaweza kuisoma pale ao ku ipewa, (logo ya kikundi ikakubaliwa kuwa hivi): Walishiriki kwa kikao hiki watu wengi na waka wachagua watu wafuatao kuwa waongozi wa kikundi: 1. Président :
NDAVANA SYAIPUMA 2. Vice - président : 3. secrétaire : KATEMBO - MUHAYIRWA 4.Conseiller : PALUKU KAMABU Eric 5. Conseiller : MUHINDO NGENDO 6. Conseiller : KASEREKA ALPHONSE 7. Conseiller : KASEREKA MALEKANI 8. Conseiller : CYRILE KIKOMBI 9. Conseiller : MALONGA EUGENE 10. Conseiller : MWIRAWIVU Kazi ikaanja sawasawa na watu kutoka pande zote wakajiunga kwa kazi na makundi mengi toka pande zote, zika jiunga kwa kazi kwakuungana na kikundi hiki. Siku zile wababa, wamama, vijana na wasicha wengi kabisa waliikaliya kazi ya Mungu na roho moja wakifanya kazi mbalimbali kama vile Kwa ngambo ya protocole : papa ALPHONSE, kijana JOACHIM, mama MUSAYI, mama FURAHA,papa VALERI, JEANINE na KAVE , BEJAMAIN,NAOMIE(aliyeitwa zamani CHANTALE)…. Intercession : MUDI HARNOLD, MALEKANI, ROGER, Com. SPIRITUELLE:
NDAVANA yemwenye kama kiongozi wa kundi, MUHINDO NGENDO,KIKOMBI SIRILE, EZECHIAS, OLIVIER KAYANI,… na waengine watumishi wa makundi zingine za maombi; kwa sababu wengi walijiunga kwa kazi hii ingawa hata wakiwa na kazi zingine katika makundi na ma zehebu zao Com. Ya FINANCE: baba na mama MELTA, mama BAMBA, … Wazee walio jiunga kwaku sukuma kazi: mzee SUMBUSU MARC,mzeeTALULIVA,mzee DEO WIKONGO, mzee ILONGO, mzee MAKWATA, pamoja na wengine wengi Kazi ikaendeleya sana na kundi ika julikana sana katika muji na kandokando Muda ule mikutano ika fanyika kandokando ya muji wa Butembo kwa sura ya mikutano ya “radio club” kama vile Mambira, Mabambi, Lutambi…, na watu wengi waliokoka kule, kama vile THOMAS VIRUGHO, KAISAVIRA, DANIEL… Watumishi wale waliojulikana kama watumishi mashuhuri wenye bidii ya kazi walikuwa:
NDAVANA SYAIPUMA: huyu ndiye aliyekuwa kiongozi mkuu na muanjilishi wa kikundi, alikuwa kwanza mtumishi (ao évangeliste) katika zehebu la CBCA , ni kule alitoka wakati Mungu ali mubebesha mzigo wa kuhubiri enjili ulimwenguni kote. KASEREKA ALPHONSE: huyu alijiunga kutoka zehebu ya ki protestanti ya CBCA Butembo cite (alikuwa mmoja wa viongozi ao comité katika zehebu lile). Ni huyu Alphonse njo alienda fanya biashara yake huku Byakato kwa mwaka………………., na ni kwa njia ile alitayarisha kule mkutano mkuu, watu wengi waka alikwa kwa huo mkutano, na watu wengi waka okoka pale, kikundi cha maombi (yaani cellule de priere) kika anja pale Byakato, kukaonekana watoto kama vile: Zakayo, Yosiya, Kasereka (leo anaitwa Kalebu), Kiware,… PALUKU MWIRAWIVU: huyu alijiunga kwa kazi kutoka katika zehebu ya ki protestante ya CBCA Kalimbute (alikuwa mmoja wa waalimu kule) KIKOMBI CYRILE: huyu alijiunga akiwa vilevile na maoni yake, akiwa pasta wa kanisa lake la MCFDiVi (yaani Mission du Christ Fils du Dieu Vivant) lililopatikana katika Q. Kitulu mjini Butembo. MALONGA EUGENE : huyu alikuwa pasta msaidizi katika kanisa la CYRILE KIKOMBI(yaani MCFDiVi) MUHINDO NGENDO : huyu alijiunga akiwa kiongozi wa kikundi chake cha maombi (JEUNESSE KITULI) akajiunga pamoja na kikundi chake kile (yaani kikundi kile kikakuwa kama tawi ao cellule ya Association ACUP) KASEREKA MALEKANI : huyu naye alijiunga akiwa na kikundi chake, (ECOLE DES DICSIPLES), naye aka jiunga pamoja na kikundi chake kile nayo ikakuwa cellule ya pili katika Association ACUP. Wakati ule permanence ikarudi tena pa Vungi kwake papa KASUNZURA, kule kukafanyika kazi za ofisi na maombi mengine kama ya makesha na mipango mingine mimi yakuendelesha kazi mbele. Kwa siku zile, mtumishi
NDAVANA aka muachia mwenzake MUHINDO NGENDO kipindi chake cha kila asubui kunako redio graben, na wakati ule redio hii ilikuwa imehamia katika muji (centre ville) (mu Av. DU MARCHE). Na huyu Ngendo alijichagulia katikati ya watoto wake wa imani mmoja ambaye alikuwa na mu saidia kwa kipindi kile (na yule mtoto alikuwa msichana kwa jina la ELIZA) Tena kwa siku zile Association ilikuwa na kipindi kingine (YESU MSAHADA) kilikuwa na pita kunako RTNC kila siku ya pili tangu 8h00 mpaka 8h30) na wakati ule redio hii RTNC ilikuwa na peperusha vipindi vyake pale ku soko kuu ya Butembo ; na ni KIKOMBI CYRILE pamoja na kijana JOACHIM ndio walikuwa na pitisha kile kipindi. Baadaye munamo mwaka ule ule wa 2004, Yule MUHINDO NGENDO akaanguka katika zambi ya uasherati, alisharatika na motto wake wa imani Yule ELIZA, akachukua mimba, akazaa motto. Papo hapo habari hizi zilipo chunguzwa vizuri naku hakikishwa, akatengwa mu tarehe 11/04/2005 toka katika kikundi, yeye pamoja na msichana yule, kwa hiyo kikundi chake (yaani jeunesse Kitulu) kika yumba sana karibu naku zimika lakini wamoja wa watoto wake wa imani waliendelesha kikundi (miongoni mwao: MUSAFIRI, ANISETH…). Watu wale walipo fukuzwa kutoka katika kundi kwa ajili ya makosa yao, mtumishi
NDAVANA akarudilia kipindi chake na aka ji tafutia mtoto JOACHIM ku mushindikiza kwa kipindi kile, kila siku asubui (5hoo -6hoo), na jina ya kipindi haikuwa tena OMBENI PASIPO KUCHOKA kikaitwa “ MAOMBI SILIHA” ; Kukawa na mkutano mkuu wa maombi mwaka ule, na ali alikwa dada ANGELA KIBALONJA kutoka Nairobi, aka burudisha mkutano huo kwa nyimbo za sifa, watu wakafurahi sana na ile ika vuta watu wengine wengi kujiunga kwa Kristo. Muimbaji huyu mashuhuri alipangia pale Malera kwa baba mmoja tajiri, aliyeitwa SIKULIHINGA, ambaye naye alijiunga kwa kazi hii kutoka katika zehebu yake ya CBCA . Huyu ali nunua vyombo vya sauti, akavitoa sadaka katika kundi kusudi vi saidiye wakati wa mikutano mbalimbali iliyofanyika katika kikundi. Yaku shangaza, alipoona kwamba NGENDO ametengwa katika kundi, papohapo akaomba arudishiwe sadaka zake zote alizo toa. Akarudishiwa vyombo vile vya sauti, na kwa mwisho akafukuza mtumishi
NDAVANA katika nyumba alimokuwa akipangia pale Kalimbute (kwani ilikuwa ya SIKULIHINGA), ingawa hata mtumishi hakuwa na deni yoyote. Haijulikane wazi kama ilikuwa sababu ya nini njo maana aliomba arudishiwe sadaka zake zile, lakini ilionekana kama ilikuwa sababu yaku mtenga Ngendo aliyefanya zambi katika kikundi. Muda mchache tu baadaye, mtumishi KASEREKA MALEKANI naye akavumbuliwa kuwa mzinifu piya pamoja na mtoto wake wa imani aliyeitwa …………………… , mu tarehe 25/07/2005, Wakapewa baruha yao ya matengo, na wakatengwa kabisa, sawasawa na maandiko matakatifu. Piya MALONGA EUGENE naye aka naswa katika ileile zambi na mtoto wake wa imani aliyeitwa SOKI, naye akatengwa kutoka katika kikundi papo hapo. Kukaonekana kijana mwingine naye kwa jina la BEJAMIN, yeye hakuwa mtumishi, lakini alikuwa mwanamemba mwenye bidii ya maombi ndani yake; naye akaanguka naye katika ileile zambi… Wakati ule wababa, wamama, vijana wengi sana walipenda Mungu na wakaikalia kazi ya maombi, miongoni mwao tunaweza kutaja : Mama LAELE, Mama FURAHA, JOACHIM, MWISA KING., ROGER FIMBO, JOEL KAPAKASI, TAWITE, EVARISTE, JONATAN, Papa VALERI, THOMAS VIRUGHO, da KAVE , Mama KIPUTSU (aliye badilishwa kuwa Mama SALOME),… Wakati ule meya PALUKU KAMAVU ERIC alikuwa ame inuliwa kabisa katika kazi kwa ajili yaku mheshimu Mungu, yaani alikuwa hayuko tena katika muji wa Butembo ; aliyekuwa meya wakati ule alikuwa ni JULIEN PALUKU KAHONGYA. Semina na mikutano zilizidi sana ku permanence na hata katika ma salle polyvalente, kama vile mu tarehe 22/05/2004 kukafanyika seminaire ya ma couples iliyo simamiwa na kiongozi wa kundi yaani mtumishi
NDAVANA, somo ilisema UNYUMBA PARADISO YA ULIMWENGU. Pamoja na ile kulikuwa tena semina ingine ambamo tulipokea ujumbe ulio tujia kutoka KOREA, ujumbe huu uliletwa na watumishi wa Mungu: Past. SENGA AIMER Ev. KAVIRA akishindikizwa na waSœurs JINA, JEUDI, FATU pamoja na ESTER wakitokea Goma, na somo ilisema NI WAKATI WA MUNGU. Hali ya wa tumishi ikaonekana kuwa mbaya kabisa, watu wakaanja kurudi nyuma polepole, yaani bidii ya watu wengi ika pola kwa ajili ya mchafuko ya watumishi; na hata watumishi wengine waka jiachisha kazi wao wenyewe. Ingawaje vile lakini mikutano iliendelea mara mbili kwa kila mwaka ginsi ilivyo kuwa kawaida, na kazi ikaendelea kwa nguvu za Mungu, ingawa watu walionekana wenye kuchoka na jina ya kikundi likachafuka, kwa ajili ya zambi za watumishi. Siku zile kukafanyika mkutano mkuu wa ufungulifu wa muji wa Butembo, kukawa kuzunguka katika muji yote ya Butembo, (kuanjia rond-point cathedrale kushuka mu barabara kuu ya muji yaani grand route-kupanda MGL- kutokea ITAV- mpaka kuishia kwa DENIS PALUKU mu uwanja ambako kulifanyika kazi kuu ya maombi ya ufungulifu wa muji) meya wa muji wa Butembo wakati ule alikuwa JULIEN PALUKU KAHONGYA, naye akashiriki kwa kazi hii kubwa ya ufungulifu wa muji wake. Hii ni picha ya watoto wa Mungu wakifanya maandamano ya ufungulifu Wageni wengi kutoka inji za kigeni na miji ya pembeni walikuwa waki alikwa kwa mikutano hiyo ; miongoni mwao kuna mfano : ANGEL KIBALONJA na mume wake ELISHA MULIRI…, Picha hizi ni za mikutano fulanifulani wakati ule Pamoja hiyo mikutano ilifanyika katika maeneo mingine vilevile kama HUTWE, KASEGHE, MUHANGI, VUYINGA, … Na kwa wakatakati ule kiongozi wa kundi aliendelea kuwa
NDAVANA SYAIPUMA na katibu wake alikuwa ni KASEREKA MUHAYIRWA aliye julikana kwa jina la DJEPH. Tarehe 1/07/2OO4, mtumishi MUDI HARNOLD na MUHINDO pamoja na KAMBALE JOACHIM waka tumiwa kwa kazi ya Mungu pa KASUGHO, kule wakaonana na viongozi mbalimbali na wakaanda mkutano mkuu wa maombi katika maeneo ya kule Kasugho, ambako kulikuwa ukosefu wa salama ulio sababishwa na wakimbizi wa kinyarwanda wa FDLR waliokuwa wamekimbiliya katika inji ya Kongo kutoka kwao rwanda munamo myaka 1994. Nao walishiriki kwa mkutano huo, na wakashukuru sana kwa mafunuo hayo (cfr. Rapport du travail de Kasugho). Kutoka Kasugho kukafanyika tena mkutano ingine pa MUHANGI/MAMBIRA munamo mwaka 2004 ; Piya kulifanyika mikutano mbalimbali ya watu aina yote, sawa vile vijana (cfr doc. kikao cha matayarisho ya mkutano ya vijana) Tarehe 23 mpaka 30/05/2004 Kiongozi mtumishi
NDAVANA pamoja na kundi kubwa la waombaji waka peleka habari njema upande wa KASEGHE, KIRUMBA, HUTWE, na kule watu wengi waliokoka naku muachiya Yesu maisha yao. Baada ya ile kukasikika tena habari zingine za uasherati wa aliyekuwa katibu siku zile (yaani DJEPH), jambo hili lilipo endelea kusikika aka jiachisha kazi yeye mwenyewe, na papo hapo tangu mwaka ule kijana JOACHIM akateuliwa na kiongozi wa kundi kuwa katibu, na jambo hili likakubaliwa na watu wote kwani kijana huyu alikuwa na bidii ya kazi ya Mungu, tena alikuwa ametayarishwa kwa kazi hii kupitiya comission ya protocole ya lile kundi. Mu tarehe 20/08/2005, DJEPH vilevile akapewa baruha yake ya matengo, akaenda katika mambo mengine yaku saidia maisha yake Munamo mwaka 2OO6, kukafanyika tena mkutano mkuu wa kualika watumishi wote waliokuwa wangali na shikamana na imani yao wakati wengine walikuwa wame jiachisha kazi na wengine kutengwa kwa ajili ya makosa yao. Mkutano huo ukatangazwa kuwa ni Assemblee Génerale na katika mkutano huu kukazungumziwa nukta mbalimbali zakuelekea kundi na kuka kubaliwa kufanyike ammendement ya statut ya Association Chetienne de l’Unite dans la Priere (ACUP) kwani ile jina ilikuwa imechafuliwa mu ma zambi za watumishi fulanifulani, na wengi kati ya wa signateurs walikuwa wamepoteza haki yao ya kuwa wanamemba wa kundi juu ya zambi zao na kujiachisha kazi wenyewe. Watu wote ndani ya mkutano huo waka kubaliana kwa nukta zote zaku badilisha ndani ya statut. Amandement ikafanyika na avenant ika andikwa ; jina la kikundi lika badilika kuwa « MINISTERE CHRETIEN INDEPENDANT
UNITE DANS LA PRIERE » ( yaani huduma ya kikristo ya umoja katika maombi) ; na majina zingine kati ya wa signateurs zikatoshwa, kukaongezeka wengine. Ni kwa mwaka ule njo JOACHIM alijulikana rasmi kama katibu wa huduma (ingawa alianja kazi hii tangu 2OO4). Picha ya katibu mkuu JOACHIM Mikutano ikazidi sana huku na kule, zaidi sana mara mbili kwa kila mwaka (mwezi wa sita ao saba na mwisho wa mwaka). Kwa ajili ya kuombeya uchaguzi wa inji yetu. Kwa mwaka uleule, ali alikwa muimbaji mashuhuri PEACE MULU, na ujumbe katika wimbo wake « OMBEA ADUI YAKO » Mikutano ya aina yote ilifanyika wakati ule kwa ajili ya kuombea inji na province na muji wa Butembo, na watu walitoka huku na kule, yaani pande zote za muji wa Butembo, kwa ajili ya kuja kuombeya inji yao. Picha hizi ni za mikutano mikuu ya maombi pale katika uwanja wa Denis Paluku Muda ule tukapata habari kwamba viongozi wa zehebu la ki anglicane pale kitulu mahali kulikuwa na fanyika maombi ya kila siku ya tano, wame amua kwamba maombi isikuwe na fanyika tena katika zehebu yao. Kwa hiyo programme zote zikahamia pale mu Q.Fatuma n°88, tuka ishi pale kama wapangai, tukilipa pesa ya kupanga sawasawa na bei ya kila mwezi. Lakini baadaye kidogo, mu tarehe 16/09/2OO6, tuka nunua parcelle hiyo ikakuwa ya kikundi, na pakajulikana kama makao makubwa ya huduma ya umoja katika maombi. (Siège social). Na ni pale njo kulihamia kazi zote zinazo elekea kikundi, yaani maombi ya kila siku ya tano na ya yenga, maombi ya makesha kila siku ya tatu na ya posho usiku, maimarisho kila siku ya kwanza na ya tatu, na mikutano yote yakufikiria ao kupangia kazi ya Mungu Wakati ule Mungu akatufungulia milango ya kupata chombo yaani appareil émeteur ya radio. Kwa mwaka uleule 2006 mtumishi kiongazi alianja kutayarisha mahali pakutiya (yaani ku installer) chombo hiki sababu alikuwa hana tena makao kamili kwenye anaweza endelea kuweka chombo kyenyewe. Siku za kambeni za uchaguzi (yaani campagne éléctorales) wa inji yetu zilikaribia, basi mwana bunge mmoja kwa jina la mzee BAYOLI ali alika mtumishi
NDAVANA kuja kufundisha kwa kikao kikuu alicho tayarisha juu ya kambeni pale Vutalurya mu chumba kikuu cha mikutano chake ayati KOWA ; kiisha mkutano ule, mtumishi akaomba huyu mwanabunge amuuzishe pilone moja kati ya pilone nyingi alizokuwa nazo mjini, alizo tumiya kwa mtantao wake wa simu wakati wa Congo geat. Huyu akachagua ile ya pale Base. Ni kwa njia ile watoto wa Mungu wakakusanya michango mbalimbali, na mtumishi baba yetu akaongeza pesa, pilone ile ika nunuliwa, na ujenzi wa studio ukaanja mahali pale kwa michango mbalimbali tu ya watakatifu wote. Lakini kwa mwisho wa mwaka huu wa 2006, tena watumishi wengine waka jitenga wenyewe kwa sababu hawakupata maisha yao ndani ya huduma, maana walifikiri kupata vyote katika kikundi ; kwa ajili ya hiyo wakafikiri kama kiongozi pamoja na katibu walikula pesa za kundi wao peke bilza kukumbuka wenzao; miongoni mwao kuko : KATEMBO KIKWALI, MUDI HARNOLD, WANZA LUENDO, YOSIYA, KAMANDI … Mu mwaka 2007 karibia mwisho, ujenzi na matayarisho yote ilikuwa imefika mwisho, ndipo redio ikaanja kupeperusha vipindi vyake pale kwa mlima wa Base, na ikajulikana kwa jina la « REDIO FARAJA MAOMBI NA INJILI » (RFMI kwa kifupi) (cfr. Doc. Historia fupi ya redio Faraja) Mikutano ikazidi inje ya muji wa Butembo kwa sura ya « RADIO CLUB » (yaani mikutano ya wa sikilizaji wa vipindi), na ni kwa njia ile njo vyumba vya maombi vilizidi kandokando ya muji na vyumba vile vikajulikana kwa jina la « CELLULE DE PRIERE ». Watu walisikiliza neno la Mungu kwa makini, na wengi waliokoka na kuponeshwa mangonjwa yao kwa njiya ya redio, wachawi wa malaya, wizi waliokoka bila hesabu wakati ule Mfano : ZEFANI alikuwa mchawi mkuu katika maeneo ya Vulengya, aliokoka na hirizi zake zikachomwa kwa moto. Picha hii ni ya hirizi za mcawi aliye okoka na zinaenda kuchomwa na moto DORCASSE : piya alikuwa mchawi mkuu na malkia katika maeneo ya Mabambi JOLIE pamoja na MUHINDO, na wengine wengi Mungu ali waokoa kwa njia mbalimbali kutoka katika maisha mabaya walimo tumikia Shetani siku nyingi na wali penda Mungu sana Watu wazima pamoja na wagonjwa, walitokea pande ine za jimbo la Nord-Kivu, kutafuta msahada, na wali saidiwa kwa kweli. Picha hizi ni za wagonjwa walio poneshwa muda ule Mtumishi wa Mungu
NDAVANA naye kwa namna ya kipekee alikuwa na ziara zake za kipekee, akitembeleya watoto wake wa imani, pamoja na kushiriki huko kwa mikutano ya maombi pamoja na waombaji wa kimataifa. Picha hii ni ya mtumishi pamoja na watoto wake wa imani pa Nairobi/Kenya Mwaka 2008 ulikuwa mwaka ya mikutano huku na huku, pamoja na kutazama makubwa ya Bwana. Kwa mwisho wa mwaka ule, watumishi BARAKA pamoja na CHRISTIEN NZUNZUMUNA PETROS, walikuja wakafanya seminaire pale ku permanence, na ni wao njo walifundisha watoto wa Mungu kuhusu sadaka mbalimbali za kumtolea Mungu, na zaidi sana walifungua akili za watoto wa Mungu kuhusu sadaka za moja ya kumi. Tangu mwanzo wa huduma mpaka siku zile hakukufundishiwa somo yoyote kuhusu sadaka. Ni kuanjia siku zile njo tunaweza sema kwamba watoto wa Mungu walianja kujitoa kwa kazi ya Mungu ao kwa watumishi wa Mungu. Watumishi wale walieleza piya namna gani Mungu ana watumia ki miujiza huku na kule, na ginsi Mungu anavyo watuma hata kwa ma raisi wainji. (cfr. temoignage ya BARAKA) Mwaka uleule watumishi wengine kwa jina la USHINDI pamoja na BATANGI walitujia, huyu Batangi alitufundisha kuhusu IMANI, baadaye tena JOSHUA MUTUA MWANZA kutoka Nairobi alitujia na somo « NAMNA GANI KUWA BILLIONAIR KATIKA MWILI WA KRISTO », baadaye tena USHINDI akarudi yeye na jamaa yake na wakati ule alionekana kama mtapeli. Mwaka 2009 : mikutano ikaendelea sana, wageni walikuja toka miji mbalimbali. Mu tarehe 29 mpaka 31/01/2OO9, kulikuwa seminaire kunako permanence ya huduma (mu cell. Fatuma 88) ; watumishi kutoka ku ma cellules de priere walikuja ili kueleweshwa tena lengo ya huduma vizuri; na ni kiisha huo mkutano kulifanyika matembezi maalum kwa ma cellules zote za maombi katika muji wa Butembo, kusudi nao waeleweshwe vizuri lengo ya huduma, na matembezi hayo yalielekea zaidi sana : Ecole des disciples, Jeunnesse Kitulu, Jeunnesse Katwa, Cellule ya Malera … ; na waliotembea kule ni : MWIRAWIVU, MALEKANI, GREGOIRE na JOACHIM kama katibu. Mu mwaka 2009, mtumishi ZACHARIA alikuja kutoka Tanzania na alifundisha somo ya uhuru kutoka katika woga na mashaka, na ni kwanjia ya huyu njo Mungu alisema kwamba tangu muda ule kundi haitaitwa tena chumba cha maombi bani ni kanisa, na ma cellules de priere zote zitaitwa ma kanisa. Alitabiri tena mambo mengine mengi. (cf. doc. UHURU TOKA KATIKA MASHAKA) Kwa hiyo tangu siku zile kundi ikaanja kuitwa « KANISA » ; lakini jina kanisa halikutawala. Mtumishi CHRISTIEN PETROS NZUNZUMUNA akarudi tena na « UJUMBE WA SIKU ZA MWISHO ». Watumishi KIKURU na O-O wakakuja tena na kuendelea kuimarisha watoto wa Mungu. Mu mwaka 2010, mtumishi Christien akakuja tena nakufanya ma seminaries kuma kanisa (yaani ma cellules), akafundisha kuhusu kalendari ya roma (calendrier babilonien) alifundisha Butembo, Beni, Oicha , …. Kufikia mwaka 2011, kundi ilikuwa imegeuka na sura ya kanisa halisi, na watoto wa Mungu walikuwa wamepata sura yawa Kristo sababu walikuwa wamefundishwa mafundisho yenye ku faa kwa kanisa, sawa: KUELEWA MEZA YA BWANA, MAOMBI, UBATIZO UNAO FAA, UMOJA, … Kwa mwanzoya mwaka 2012, mtumishi akaanja tayarisha mkutano mkuu ya watoto wa Mungu wote katika huduma nzima. Na mkutano huo ukafanyika pa Kalunguta tangu tarehe …….mpaka tarehe …/…/2012. Katika mkutano huo watu wote walibarikiwa sana naku funguliwa toka vifungo mbalimbali, na ni pale njo Mungu alijifunua kwa mtumishi wake kwamba watu wabatiziwe,na tujulishe kwamba katika mkutano ule mtumishi Kikiru toka Bukavu alialikwa kama mgeni Tarehe ………. Mtumishi wa Mungu akasikia sauti ya Mungu kwamba watu wa shuhudie katika maji imani yao kwa Yesu Kristo kwa njia ya maji mengi. Ilikuwa tarehe ……/……./………., wakati Mtumishi kiongozi wa huduma alitelemushia watumishi wengine karibu na maji ili awatayarishe kwa jambo lakubatizwa nakubatiza watoto wa Mungu, MWIRZA WA YESU alikuwa wa kwanza kuonesha sura na roho yakupinga, akasema: yaani katika huduma yote hakuna mutu anaye stahili kubatizwa na hata anayeweza kubatiza mwengine.Ingawaje ile hali yakupinga, wengine watoto wa Mungu wali nyenyekeya, waka kubali ujumbe huu nakubatizwa. Aliyekuwa wa kwanza kubatizwa katika huduma na aliyefungulia wengine nzia ni Mtumishi Joachim (wakati ule katibu mkuu), kiisha wengine wakamufuata . Baadaye wengine watumishi wa huduma tu wakaendelesha kazi hiyo. Siku ileile, JOSUE , KAMBETU, TIMOTE, TITO, THOMAS, BARNABAS hawakuelewa maana ya kazi hii, wakafanya kikao cha uficho ile siku usiku waka katala mpango wa ubatizo na wakatafuta kushawishi watu wengine wakatae kubatizwa. Kwa ajili ya hao kulipatikana kundi ya watu Fulani wali onesha sura yakukataa mafunuo yaliyo tokeya katika mkutano. Na hata wengine wakaamua kuacha mkutano na kurudi kwao. Mawazo hayo yakupinga yalionekana wazi ndani ya: Mwirawa Yesu, Baba na Mama Melta, Mama Tresor, Janvier na wengine… Mkutano huo ulipokua umekwisha , watu wamerudi kwa makanisa yao; mafundisho ya maimarisho yakaanza kupengema kunako radio na hata ku permanence. Wasikilizaji wakaanza kuuliza kama kwa nini mafundisho ya watumishi fulanifulani yamebadilika? Mtumishi wa kipindi cha kunako radio yaani mzee JEAN BAPTISTE MUHESI, akajiachisha kipindi chake yeye mwenyewe, mu tarehe:………/……../………., akaandika baruha kwamba haone maana yakuendelea katika huduma kwani hawafuate tena lengo ya kwanza ya huduma ya zamani. Mtumishi kiongozi
NDAVANA SHAYIPUMA akapata ufunuo wakugawa watu kwa vikundi viwili wakati wa maimarisho, kukawa kikundi cha: 1. Wa Baba kila siku ya ine ya juma 2. Wa Mama kila siku ya pili ya juma 3. Vijana kila siku ya saba ya juma Hii ilikua ni kwasababa aliona watu walikuwa wameanza shawishiwa kupitia mafundisho yenye chachu mbaya. Haya mafunuo nayo yakavitanishwa sana na siku zile hali yakupinga ikaanza onekana waziwazi ndani ya MWIRA WA YESU, akasema kwa mwamba mutu hawezi kuzaa watoto kiisha anashindwa kuwa imarisha, mwengine njo ana muimarishia wao. Mtumishi akapata tena mafunuo kwamba KAMBETU njo asimamie maimarisho ya wa mama na MWIRAWIVU abaki na ya wababa. Akumbe Kambetu naye alikuwa ame shawishiwa tayari, akaonesha hali yakukataa. Ile hewa iliendelea ndani ya watumishi wamoja wamoja na watoto wa Mungu; na ikasababisha hali ya kazarau mpaka wamoja hawakutii tena sauti ya kiongozi wa kundi. Ilikuwa tarehe …/…/… watumishi wamoja wa upande wa Kaina wakaungana na kuandika baruha kwamba MWIRA WA YESU pamoja na
NDAVANA watafute siku yakuwajibia kuhusu hali walio onesha Kalunguta. Wakati ule kiongozi yaani mze
NDAVANA akaomba rapport ya consomation ya carburant kusudi aitangaze katika mkutano ya watoto wa Mungu. Katibu alipotoa hii rapport, kwamba inaenea dola karibu mia tano (500) kwa kila mwezi (yaani consomation ya radio pamoja na ya ibada mbalimbali kunako permanence); JOSUE aka tangaza bila adabu kwamba rapport hii ilikuwa ya uongo, wakaungana tena pamoja sawa ginsi waliungana Kalunguta, waka anjisha vikao vya kusengenya watumishi wa Mungu, zaidi kiongozi pamoja na katibu. Hizi ni picha za JOSUE pamoja na JEANVIER walio chocheya sana uasi katika kundi Watu wengi waka vamiwa na roho hii mbaya yakupinga uongozi kwa maficho. Hali hii ya JOSUE na ile ya MWIRA WA YESU pale Kalunguta ika zaa hewa mbaya katikati ya watoto wa Mungu. Wakati ule mtumishi
NDAVANA akatangaza kwa redio na katika mikutano yote kwamba kila mutu mwenye ana mu jua na kosa yoyote akuje amuharifu; ao kila mutu mwenye alishaka kosea, akuje waongeye kusudi wasameheane. Hakukuonekana hata mutu mmoja aliye mustaki isipokuwa watu fulanifulani tu waliokuwa na mambo wasio elewa bado vizuri. Baadaye mtumishi akaacha kushiriki kwa vipindi vyake kunako redio, kusudi asibebe vasikilizaji ndani ya confusion, maana mafundisho yaw engine watumishi kwa redio na hata ku permanence ilikuwa na ilisha pengema. Tangu siku zile mtumishi akajiepusha mchafu yoyote akaenda jificha chini ya muti (chini ya muti ni kusema mulima mkuu wa maombi) Baada ya hiyo kukaalikwa mkutano mkuu ya watumishi wote pa Ndoluma, ndani ya mkutano ule kulizungumziwa nukta kubwakubwa hizi: Kuzungumzia hewa hii ya upingaji ambayo imevamia kundi nzima Kufikiria finance ya huduma. Mkutano huo hauku fua dafu (réussir) kwa sababu akumbe watumishi wengi walikuwa tayari mateka ya hiyo roho mbaya ya kupinga, KAMBETU, THOMAS, GIDEON, JEAN PIERRE na RUBENI walionesha waziwazi hali ya kupinga mipango mipya iliyo funuliwa, wakakataa mawazo yote kuhusu nukta zile mbili, na walionesha wazi niya yao iliyo watawala “kuzimika kwa huduma”. Mwezi wa sita ya mwaka wa 2012, kukasikika tena katika kundi habari za uashera kati ya katibu Joachim na msichana aitwaye Ryth (mdogo wa muke wake katibu). Habari hizi zilikuwa mbaya zaidi, na zilipokelewa kwa furaha sana na watu wale waliokusudia kuanguka kwa kundi, wakapeleka zile habari pamoja na habari zao zakupinga kazi inayo endelea katika huduma. Watu wengi waliposikiya habari hizi walishangaa kabisa, na wamoja walionesha sura yakuvunjika moyo,… Ilikuwa munamo tarehe 09/12/2O12, pa saha kumi za jioni, huyu msichana akakanusha katika mkutano ya watu wengi ku permanence kwamba ilikuwa uongo mtupu, kwa hiyo watu wamoja wakapima kutulia, na ile kundi ya walio jifanya maadui wa kazi ya Mungu wakaachana kwanza na ile habari ya uasherati, waka beba habari zingine kwamba uongozi wa kundi yaani mtumishi
NDAVANA amepindisha lengo ya kundi, kwani amebatiza katika huduma na ameombea wanaofunga ndoa, piya amepora pesa za watu kupitiya caisse ya umoja na projets mbalimbali alizo tangazia watoto wa Mungu, kama vile projet ya ufugo ya pale Muhangi, tena walisema amegeuza kundi kuwa kanisa, wakaanza kuchafua jina la mtumishi kwakupeleka zile habari kati ya watu kwa siri na kushawishi watu wengi sana. Ingawa hata ni Yule MWIRAWIVU na wengine wapingaji ndio walikuwa naombeya watu wanao funga arusi. Picha hii niya MWIRAWIVU aki ombeya ndoa ya mama JUSTINNEpamoja naMUMBERE Na ndugu yake JOSUE ndiye aliyeombeya arusi ya KAVE aliyefanya zamani kazi ya protocol pamoja na dada JEANNINE, ..... Tarehe 24/05/2O13 kukaalikwa mkutano mkuu ya watumishi yaani Assemble Générale pale Mangina, kulikuwa vile programme ya kuombea arusi ya mtumishi BARNABAS, pamoja na kufikiria hewa hii ya vita katika huduma. Baada yakuone hewa mbaya ambayo watumishi JOSUE pamoja na MWIRAWA YESU walikuwa wameingiza katika kundi wakiungana na watu walio nyumba, kukaandikia baruha za matunzo (yaani garage spirituel) kwa wale watumishi.(maana walionekana kuwa wao ndio chanjo cha fujo katika kundi, wao njo walitiya wengine kichwa Nguvu ya kuto kunyenyekeya uongozi wa huduma). (cfr. Baruha za matunzo…) Na hizi baruha zili andikwa kufuatana na makosa yao yakutokutii na kutokuheshimu kiongozi wa huduma. Lakini walipopata zile baruha wakaita waamini wao wote, wakaandika dénociation yaani baruha yao ya tarehe 29/05/2013; Kwamba serekali iamue kati yao na mtumishi, naku muondoa kwa uongozi wa huduma, maana ana ongoza vibaya. Maramoja mu tarehe 05/08/2013, wakaandika baruha ingine ya mipangilio yao mipya ya kundi (gouvernement de transition), waka teua MUSAFIRI BARAKA kwamba ndiye kiongozi wao mupya. Kwa ajili ya ile kiburi yao na kushawishi watoto wa Mungu. Mu tarehe 06/10/2013, waliokuwa watumishi JOSUE pamoja na MWIRAWIVU wakapewa baruha zao za matengo, na ilikuwa ni kwa ajili ya hali yao mbaya waliyo onesha, yakutokuvunjika mbele ya maonyo ya watumishi wa Mungu akumbe walikuwa mbwa za pori. Kwa kweli jambo hili lilileta tena woga na wasiwasi katika mioyo ya watoto wa Mungu, na katika kundi nzima na hata muji wote kwa jumla. Vurugu hii iliendelea kabisa, wakafanya mioyo kuwa migumu, hawakukubali kuvunjika, wakashawishi wengine watoto wa Mungu wengi sana, na ku wachinja kiroho mpaka hata kwenye makanisa ya pembeni. Mfano : katika kanisa la Beni kulikuwa kijana aliyeitwa mtumishi Gideon huyu naye alijiunga na wale wasio tii uongozi, na alichinja sehemu ya watoto wa Mungu pale Beni ; Lubero vilevile kulikuwa Timotheo aliyeitwa Anselme, alichinja watoto wa Mungu pa Lubero. Hali hii ilileta vurugu katika makanisa yote ya huduma, na iliendelea mpaka mwaka 2015. Jambo hili likasumbua watu kabisa, wengi wakajiunga kwa hiyo kundi ya wapingai, huduma ika yumba sana, lakini Bwana akaendelea kushika walio wake. Ikafika mpaka wakaandika baruha yao iliyokufunga mazabahu ya Mungu (yaani Redio FARAJA pamoja na permanence) vilivyokuwa mjini Butembo, la sivyo (walisema kwamba) wanaenda mwanga damu kiyolela katika muji wa Butembo. Kwa ajili ya baruha yao hii (…………………….), na kwa ruhusa yao, vyombo vya kazi ya Mungu vikafungwa na meya wa muji wa Butembo katika baruha yake ya tarehe …/…/… Watoto wa Mungu pa Butembo, wakabaki katika hali ya ukimbizi, wakaanja kufikishia programme zao pale mlimani kwa DENIS, karibu myezi tisa, kazi zote za watoto wa Mungu pale Butembo, zili hamia pale kwa Denis. Lakini pamoja na ile, ni Kahindo pamoja na kundi yake ya protocole ndio waliendelea chunga permanence, wakati piya Josue pamoja na kundi yake walichunga Redio. Picha hizi niza watoto wa Mungu wakisomea kwa DENIS PALUKU Watoto wa Mungu wali vumilia sana hali ya ukimbizi pale kwa Denis Paluku. Na pale Mungu kufuatana na uvumilivu wao. Walivumilia jua, mvula, matukano, kuchekelewa, …. Lakini pamoja na ile yote walitiwa moyo kabisa wakijua ginsi Mungu ni kwa upande wao. Wakati ule Mungu aka jichaguliya kati ya watoto wake kundi ya watumishi waliojulkana kama WATUMISHI WA NYIMBO ZA TENZI Watumishi hao walikuwa wakipokeya mafunuo ya nyimbo za rohoni, waka zitiya kwa ma CD na ma CM kwa njiya yaku zitengeneza katika studio. Ingawa kazi hii ili omba garama kubwa, lakini Mungu asifiwe kwa sababu kwa njiya hii tulipata nyimbo zetu katika huduma ao nyimbo za huduma Lacement ya nyimbo hizi ilifanyika Butembo mu tarehe……/……/…. Na ni kwa njiya ile watu wote wakaruhusiwa kuimba nyimbo zile Hizi nyimbo zilijulikana na watoto wa Mungu wote katika makanisa yote ya huduma. Watoto hao yaani watumishi wa nyimbo za tenzi waliimarishwa na Mungu chini ya muti, yaani katika miguu ya askofu
Ndavana kiongozi wa huduma, na muji ule ambao tuliita chini ya muti ao tena muji wa makimbilio ulipatikzana MAKEDONIYA ambako zamani kuliitwa MAKILIDOU, ni mu province Orientele/DRC wakati ule Wakati fulanifulani Askofu alikuwa nafika Butembo kwakuja kutiya watoto wa Mungu yaani kanisa moyo kama vile pa Butembo Wakati ule kanisa la Butembo lilikuwa likiongozwa na watoto wa Mungu walio ungana kwaku tiya moyo watoto wa Mungu, nao walikuwa: JOEL KAPAKASI, KALENDI PAMUKI, FAUSTIN, MUYISA KINGELEBU, na wengine Munamo tarehe …/…, watoto wa Mungu waka anja kusomea pale mu av.Bamathe/Butembo, (kulikuwa chantier ya papa KIWEDE ao famille PERUZI). Ni kwamba muda yao yakusomea kwa Denis ilikuwa imefika mwisho. Wakati ule wakaita pale kwenye walihamiya tena kwa jina la (maternite), wakakuwa na lipa louage ya mahali pale mpaka siku Mungu atakapo wakumbuka tena kuwapa mahali pengine. Lakini chaku shangaza MUYISA KINGELEBU ambaye alijulikana kuwa mume wa dada NAOMIE huyu aliye itwa zamani katika dini ya wazazi wake CHANTALE na sasa alipookoka akabadilisha jina na akafanya kazi ya protocol katika huduma, zaidi kunako permanence; hawa wakafanya nao tena mpango yaku jitenga kwa watoto wa Mungu. Shabaha yao ilikuwa ili waanje kundi yao; hao waka shawishi CHARLINE, REHEMA, na papa DALOS lakini hawakuweza watu wengi zaidi ya wale, wakaenda nao wakaanja kundi yao Ingawa ile watakatifu wa Mungu waliendeleya kutiwa moyo na kukomaa na kanisa na hata huduma yote ilikomaa sana siku kwa siku Picha hizi ni za ibada fulani fulani wakati ule Hata ni wakati ule kanisa la Butembo walifikiya kiwango chaku nunua parcelle nzuri ya samani sana pale katika Q. KAMBALI Vyombo vya Mungu vilipo endelea kufungwa muda wa siku nyingi (karibu mwaka mzima na zaidi), ilipofika nyakati fulani, mtumishi wa Mungu aliendelea kuendeya wakuu viongozi wa jimbo, kwa ruhusa ya Assemblee Générale, kwaku waonesha mwangaza ulio katika dosari hii. Ilifika kiwango kwamba hata hata kama wakuu wajimbo waliandika vibaruha kwamba vyombo vya watoto wa Mungu vifunguliwe, meya wa muji wa Butembo haku kubali kuvifungua (hatujui kwa nini) ; wakati ule aliyekuwa meya wa muji alikuwa ni SIKULI UVASAKA MAKALA, aliyejulikana kwa jina la KAPIPI. Siku zilipo zidi, huyu meya pamoja na lile kundi la wasiopenda enjili ihubiriwe, kwa manyanga isiyo julikana wakajifanyia mabaruha yakufungua vyombo vya kazi ya Mungu, mu tarehe …/…/…, wakafika kunako permanence na saha tisa za jioni pamoja na ma askari polisi wenye silaha, wakafungula permanence kwa makazo (walitumia nondo yaani marteau), papo hapo wale ma polis wakaelekeya kunako redio, nayo waka ifungua , na ni tangu siku ile waka riti vyombo vya Mungu kwa makazo kabisa, wakaanja kupeperusha vipindi vyao kunako redio FARAJA, na wakaanja kufanya mikutano yao kunako permanence. Munamo tarehe 09-11/1/2015 mtumishi akaita watumishi, ma pastas wote wa makanisa yote ya huduma, ni pale njo wali kamata mpango yakuandika kilio na malalamiko ya watoto wa Mungu, na wakaamua kwamba baada ya baruha hii jambo hili lina achiwa Mungu (yaani Mungu njo afatilie jambo hili kabisa). Tangu siku hii, tuta endelea na kazi ya Mungu kama kawaida (cfr. Baruha ya kiliyo na malalamiko ya watoto wa Mungu) Ni baada ya ile yote, kiisha siku nyingi kabisa hali ikibaki tu vilevile, njo watoto wa Mungu wakaamua kusamehe yote yaliyopita, pamoja na wote waliofanya fujo katika kundi, na kuanja kila kitu upya kabisa. Kuliandaliwa mkutano wa enjili katika muji wa kilo (ni katika maeneo ya Kalunguta) mun,amo tarehe 09 mpaka 11/04/2O15. Mkutano huo ulikuwa faraja kwa watoto wa Miungu katika huduma yote, ingawa ilikuwa kama mzogo mzito, lakini watu wengi waliokoka kabisa, zaidi ya wa makumi mbili (20) ; na ilikuwa kanisa la kilo lilianja siku ile pale KILO. Baada ya hiyo mkutano mtumishi wa Mungu alipopata habari za ushindi za mkutano huo, akaelekea huko makedonia kuenda kushukuru Mungu kwa faraja hii ambayo Bwana ana tufariji nayo. Mu tarehe 31 /05/2015 kulifanyika maombi maalum katika muji ya Beni kutokana na ukosefu wa salama iliyo ji tokeza katika territoire ya Beni, na tangu siku ile salama ili onekana kabisa. Ndio maana kuli andaliwa tena mkutano mkuu wa shukrani kwa Mungu kwa ajili ya utendaji wake mu territoire ya Beni. Mkutano huu uliitwa (operation changer nationalite) na ulikuwa na mambo karibu ine yaku fanya : Kuhubiri muji wa Beni Kuombea watumihsi wa Mungu toka makanisa yote Kutangazia watu kuhusu mchango ya ununuzi wa permanence ya Beni Lancement ya nyimbo za tenzi Baada ya hiyo maamuzi njo watoto wa Mungu wakaendeleya na kazi ya Mungu bila tena kudjali mzozo yakutokeya huku na kule. Ndipo waka andaa tangu tarehe 27 mpaka tarehe 30/08/2015 mkutano mkuu iliyo karibisha watoto wa Mungu wote pale Beni (KAMBING) katika somo kubwa OPPERATION CHANGER NATIONNALITE, Wakafanya piya mikutano yakuombeya hali ya inji zaidi ni mu wakati territoire ya Beni ilisumbuliwa na watu walio chinja wakaaji kama nyama, mikutano ikafanyika mingi yakuombeya territoire hii Kukafanyika tena mkutano ya wafanya biashara wote katika huduma pa Beni, mu tarehe …./…./2015 Wakati ule kuka karibishwa mama DJEFA pamoja naye PADON kutoka muji wa Nairobi, ni huyu mama ndiye aliye leta ujumbe toka Mungu kwamba muda ya Askofu
NDAVANA kukaa porini umekwisha, lazima arudi nyumbani kulinda kondoo ao watoto wa Mungu kwani wame garagara siku mingi kama kondoo wasiokuwa na mchungaji Baada ya hiyo kulifanyika tena mikutano ingine mingi sawa vile tena mu tarehe 07-10/O4/2O16 wakakusanyika tena mapasta wote wa huduma pale KAMBING/beni wakipewa muelekeyo ya kazi Papo hapo tangu tarehe 30/O5/2016 kipindi kikaanjishwa kunako redio VUOS ya Beni; kipindi USHIRIKA WA WATEULE, kili peperushwa na Askofu
NDAVANA SYAIPUMA na akishindikizwa na watoto wake wa imani kama vile RACHELLE, JOACHIM,… Na somo zile za kipindi zilitumiwa katika makanisa mengine ya huduma kusudi watu wote wafuate yale mafundisho mazuri yenye kuandaa wateule yaani watakatifu kunyakuliwa Wkati ule mtumishi aliendaleya kutiya watoto wa Mungu moyo naku wapanga kwa mustari ya usawa kufuatana na hali ya ukosefu wa salama katika maeneyo yote ya territoire ya Beni. Mu tarehe 29/05/2016 kuli tangaziwa katika huduma yote somo yakuleteya watoto wa Mungu FURAHA (wafilipi 4:4-9) na siku ile askofu
Ndavana alihudumiya kanisa la Butembo, pamoja na siku ya kwanza ya juma ifuatayo (06/06/2016) (MWISHO YA PREMIERE PHASE
Kazi imeanja tayari; watoto wa Pungu amafika na furaha kubwa. Mengi zaidi tuta weka hewani hapo karibuni
Kazi imeanja tayari; watoto wa Pungu amafika na furaha kubwa. Mengi zaidi tuta weka hewani hapo karibuni
Kazi imeanja tayari; watoto wa Pungu amafika na furaha kubwa. Mengi zaidi tuta weka hewani hapo karibuni
Kazi imeanja tayari; watoto wa Pungu amafika na furaha kubwa. Mengi zaidi tuta weka hewani hapo karibuni